Imetokea jana asubuhi baada ya mmoja wa wafanyakazi wa kiwanda hicho kumwagikiwa na sukari ya moto, kusababisha majeraha upande wa mgongoni.
Uongozi wa kiwanda hicho cha mtibwa wadai kuwa hauna pesa ya matibabu hivyo inawaomba wafanya kazi wenzake wamchangie. Kiukwel inastaajabisha saana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.