Recent content by H R

  1. H

    Rais Kikwete, mbona umeamua kuangamiza Taifa? - LEMA

    Msalani na Ritz wanabahati hawajonekana tena nilikuwa na hamu nao sana hapa, sahiv watakuwa wanawatandikia wakubwa vitanda,ole wao kesho
  2. H

    Rais Kikwete, mbona umeamua kuangamiza Taifa? - LEMA

    nilikuwa nakutafta kweli we choo wewe, ushafulia wakubwa zako chupi? nchi inaangamia wewe bado tu unafua vyupi vya wakubwa chamani,na bado umeridhika,hovyoooo, na bado nipo na wewe ntakukomesha
  3. H

    Rais Kikwete, mbona umeamua kuangamiza Taifa? - LEMA

    Lema tupo nyuma yako,yani ukoo wetu mzima unamshangaa huyu ni Raisi wa aina gani,nchi imesambaratika kabisa, hakika haya anayoyafanya MUNGU ALIE HAI,atamjibu hapahapa jamani
  4. H

    Posho kwa wajumbe wa katiba mpya ni sh.300,000/= tu

    Jamani naomba tu jeshi liamke lifanye kazi hadharan mbona ghana waliweza kumtoa kwame nkurumah?, wananchi wanaangamia, laki tatu kwa siku na bado wana mishahara yao,vijana wengi hawana ajira,familia zinateseka,tembo wameisha,gesi ndo hiyo hatujui inaelekea wapi? rushwa kilua ukikata kona,garama...
  5. H

    Majangili yakamatwa Nanyumbu, dereva wa Mh. Hawa Ghasia abambwa

    Jamani jeshi linasubiri nini kupindua hii nchi, mbona hii nchi ni kama tunajiongoza wenyewe, kila mwannchi anafanya yake,polisi wanafanya yao, jeshi linafanya yao,usalama wa taifa linafanya yake, wauza unga wanafanya yao,walimu wanafanya yao,Rushwa ishakuwa ndo mishahara kila sekta,jamani...
  6. H

    Ikulu: Rais Kikwete hataidhinisha mabilioni ya kiinua mgongo kipya cha wabunge!

    yani wewe hata sebleni kwako pameandikwa chadema,kila siku wewe na chadema chadema na wewe, inawezekana ulienda kuomba uanachama wakakuta kichwa bogazi wakatupa kule, sahivi unajishibia na kupumulia kupitia hicho chama cha mizigo, mbavu
  7. H

    Nadhani hii haijawahi kutokea katika siasa za Tanzania!

    Wacha wajionee wenyewe, CDM ni chaguo la MUNGU, watajionea wenyewe kwenye chaguzi za udiwani, leo magamba wamejifanyia kakampeni kao hapa Arusha cjui hata kama kuna aliyeweka mguu pale
  8. H

    PICHA: Mh. Mbowe akiwa beneti na Rais Kikwete

    Kweli mkuu,nampa bigup sana mheshimiwa mbowe
  9. H

    Dawa ya kupunguza unene

    akate viroba kwa wingi na konyagi coz inapunguza hamu ya kula
  10. H

    Jamani nani kaniroga?

    Aisee jamani namimi asinisahau, tafadhali embu fanya chap kanikopee bank mkuu nataka mtaji wa biashara,tafadhali ni PM nikuelekeze jinsi ya kutuma hiyo hela
  11. H

    Nini kilimkuta huyu derva kwenye daraja la dumila???

    aisee utafikiri movie vile ,maskini gari la watu,sasa cjui alikuwa anawah wapi
  12. H

    PICHA:Lissu katika mkutano wa Chadema kata ya Kiboriloni.

    waulize wenzio naona unaongea toka usingizini kwaher
  13. H

    RATIBA ya M4C - Operesheni Pamoja Daima: Kigoma, Rukwa, Mbeya, Manyara na Arusha

    Rushwa imejaa kwenye tumbo lako sasa unahemea juu juu siku zako za za kuishi zinahesabika
  14. H

    PICHA:Lissu katika mkutano wa Chadema kata ya Kiboriloni.

    shezist wewe,mkuki huo ushakuchoma tayari, tungekuwa hatuna kazi kazi maendeleo yaliyopo huku uliyaleta wewe, kaa kimya na ujifunze kutoka CDM PAMOJA DAIMA
Back
Top Bottom