simple,watanzania wengi wanampenda sababu ana utajiri na si kingine ndugu yangu,so wengi wanafikiri wakimpa nafasi ya URAISI 2015 huenda maisha yao yakabadilika na kuwa GOOD LIFE,MONEY IS POWER my bro
hata mimi nataka nihame toka benjamin william mkapa high school kuhamia minaki,ila kiukweli wazazi wangu hawapo tayari kwa hili suala ndugu yangu,ntashukuru kweli kama ukinisaidia maana naona pale kwenda na kurudi ni ishu usafiri unanicost.endapo n kweli utakua na nia ya kunisaidia...
father of history na ww UMEFELI na kama unahisi huna muda wa kufanya hilo swali MBONA umepata muda wa kuandika hiyo Comment ameshasema yy anatoa CHANGAMOTO that is why amesema hivo vitabu vya nyambari visihusike.JARIBU kuwa muelewa FATHER OF HISTORY
Nzunga unasema kwamba dogo angetafuta hiyo solution kwenye GOOGLE SEARCH,hivi aliijua vipi jamii forum bila google,ukiona hadi ameleta huku hilo swali ujue alishafanya attempt za kutafuta AMEKOSA au HAKUELEWA.So kama una msaada we ungesaidia tu na si kuanza KUONGEA hizo kauli ulizoziongea.HII NI...
thx mr mwamala,kwa hiyo inayo dissolve partially ni hiyo carboxylic acid i.e methanoic acid na kupelekea approximation.Nw nmekupata bro na i thnk unamaanisha ili tupate true value lazima i dissolve totally
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.