Recent content by Gyver 03

  1. Gyver 03

    Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge 23

    Angekuwepo ata mwigulu Apotelee ukouko
  2. Gyver 03

    LGE2024 Freeman Mbowe: Tunalaani mauaji na kujeruhiwa kwa wagombea, viongozi na wanachama wetu kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

    Hivi hua mnaamanisha nini🙂🙂 Maana kwa mwaka Tanzania tunaongoza kwa kuotoa laana Na sijui kazi yake nini 🤔
  3. Gyver 03

    Waziri Mkuu wa Mali afutwa kazi kwa kuihoji Serikali sababu za Kuchelewesha Uchaguzi

    Wanasisa wa Africa ni wajinga tu bora jeshi liendelee kuongoza nchi Haya ma puppets ya siasa yaondolewe tu🙂
  4. Gyver 03

    Ifahamu kwa kifupi Korea Kaskazini

    Kuongelea nchi za wa wengine mnajua nyie nchi mnatekwa mna uwawa na hamafanyi kitu Kazi kuongelea yasio wahusu
  5. Gyver 03

    Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela

    Hii haitaisha hadi huyo afande nae ahukumiwe
  6. Gyver 03

    Askofu Mwamakula: Vyuo Vikuu vinazalisha wahitimu wanaokuwa "Machawa" wa wanasiasa

    Viongozi wa dini wenyewe Miongoni mwao kuna machawa Miongoni mwao kuna matapeli Kwan kuna maaskofu wangapi walikuwa bungeni chini ya CCM na bado wanatetea upuuzi licha ya kuwa ni Viongozi wa dini
  7. Gyver 03

    Askofu Mwamakula: Vyuo Vikuu vinazalisha wahitimu wanaokuwa "Machawa" wa wanasiasa

    Kuna kukumea na kuna kujihusisha na maswala ya siasa Kukemea ni kama maaskofu wa TEC Pale wamekemea Hawa maaskofu wa kkkt wanajihusisha moja kwa moja na siasa Mpaka wanaendesha migomo ya mikataba
  8. Gyver 03

    Askofu Mwamakula: Vyuo Vikuu vinazalisha wahitimu wanaokuwa "Machawa" wa wanasiasa

    Ukihusisha dini na siasa lazima Ndo mwanzo wa UDINI
  9. Gyver 03

    Askofu Mwamakula: Vyuo Vikuu vinazalisha wahitimu wanaokuwa "Machawa" wa wanasiasa

    Uko ni kutengeza machawa huwezi kuwa na maono kama una andaliwa kusifu kila unacho kiona How many years kuanzia nchi imepata uhuru hayo MAONO YAKO WAPI
  10. Gyver 03

    Askofu Mwamakula: Vyuo Vikuu vinazalisha wahitimu wanaokuwa "Machawa" wa wanasiasa

    Hivi kwanini sikuiz VIONGOZI wa dini wana jihusisha sana na siasa Asa hawa maaskofu🙂 Ingawa alicho sema ni sahihi Kama UDOM bila kuwa CCM hupew uongozi wa chuo
  11. Gyver 03

    PreGE2025 Hussein Bashe: Luhaga Mpina uwe na shukrani kwa serikali, chezea sekta nyingine sio kilimo

    Bado huwezi kutishia kupeleka huduma kisa matatzo yako ma mbunge Kwa wananchi ambao WANALIPA KODI AMBAYO INATUMIKA KWENYE BAJETI YA HYO SECTOR vipi kama wanachi nao wakatishia kutokulipa kodi
  12. Gyver 03

    PreGE2025 Nchimbi anazungumzia kifo cha Kibao wa CHADEMA, asema "Zikianza kelele ‘Mbowe Must Go’ zinashindikana"

    Takwimu za kipuuzi hatuzihitaji Hilo ni jeshi la police au jeshi la wauaji Juzi tu wameua mwanafunzi Geita
  13. Gyver 03

    IGP Wambura: Hali ya Usalama nchini ni Shwari

    Kwani hii nchi hakuna wanajeshi🙂 Kama Wa Burkinafaso
  14. Gyver 03

    PreGE2025 Hussein Bashe: Luhaga Mpina uwe na shukrani kwa serikali, chezea sekta nyingine sio kilimo

    Naona kweli TATIZO LA AFYA YA AKILI NI KUBWA🙂 yani mpaka waziri unaongea upuuzi kama huu Kwamba mpina ndo wananchi
Back
Top Bottom