Recent content by gymtamu

  1. gymtamu

    Naomba Ushauri: Nataka kuacha kubeti

    Nenda kadiposit wew acha undez Mpaka Mhindi na Mrusi afirisike kmmke
  2. gymtamu

    Wanaotafuta Utajiri wa Punje za Mahindi na Jogoo, Imekaaje Hii?

    Eti nasikia na Jiwe jogoo wake alikula punje tano, hivi ni kwel?
  3. gymtamu

    Uongo wa vifurushi vya Intaneti vya Airtel Tanzania

    Wengi tutakua nyuma yako boss wew wafungulie tu
  4. gymtamu

    Mchanganyiko uliosagwa wa Tangawizi, Kitunguu Saumu, Mdalasini, Limao na Asali vinaweza kutumika kwa muda gani bila kuharibika?

    Penda kufanya zoez aina ya prank Ni zoez zuri sana kwa watu ambao hawana muda mwingi wa kufanya mazoez ila wanahitaj kupunguza tumbo Anza na dakika moja na baada ya kila siku tatu unaongeza nusu dakka Mpaka utapo fika dakka 3 Nakuhakikishia kama utamaliza mwez unafanya hili zoez mafuta yote ya...
  5. gymtamu

    Naomba kuongea na wasabato wenzangu: Tunakosea sana

    Em tueleweshe wewe umefikaje hapa duniani na umefka kwa uwezo wa nan?
  6. gymtamu

    Kibiblia, nguruwe ni halali kuliwa

    Na vipi kuhusu kichuri????
  7. gymtamu

    Picha ikionyesha askari Magereza Tanzania wakiwa na sare (unifom) za rangi tofauti tofauti

    Mim naona kama rangi hii sio rafiki kulingana na mazingira ya kaz zao ni bora wapew rangi nyingne na yenye uwezo mkubwa wa kudumu na isiwe rahisi kupatikana kwenye muduka ya vitambaa Maana naamin 90% ya hao Askari wote watakuwa wamejishonea hzo nguo naamin government haiwez kufanya hvyo
  8. gymtamu

    Mungu mkubwa: Nimeokota nyumba Mbweni

    Nawew umejuaje? kwann ndugu zake hawakujua kama wew ulivyo jua? Bas kwa pamoja wote tuseme hii ni chai..
  9. gymtamu

    Mpaka sasa sijaona ubaya wa shetani

    Wew ulie uandika uzi huu hakika umelaaniwa mpaka kizazi chako cha tano na sita cha wote wakupendao Na vilevile yoyote asomae na achangiae uzi huu yampate yatakae mpata yule alie andika uzi huu
  10. gymtamu

    MJADALA: Kwanini pale alipo mtu mweusi hali ya uchumi huwa ni tete? Nini chanzo cha umasikini?

    The only answer in this is God is not fair that's all
Back
Top Bottom