Recent content by Gwimka

  1. Gwimka

    JamiiForums Tanzania Aibu ya Barabara ya Mwendokasi Mbagala, inaanza kuzibwa viraka hata kabla ya kazi kuisha

    zNchi ngumu sn hii kweli ht mie nimeona inakatika au kupasuka af wanaziba tena ukiona seem wamezungushia mchanga af wameweka maji ujue hicho ni kiraka
  2. Gwimka

    JamiiForums Tanzania Naiomba serikari kitu hiki

    Ni muda sasa wa Serikali kuirudishia hadhi Dar es salaam iitwe jiji kama zamani. Kitendo kuiita eti mkoa wa Dar es salaam ni kuikosea heshima Dar es salaam, haiwezekani wala haiingii akilini eti Dar es Salaam iitwe mkoa halafu eti Mwanza na Arusha iitwe jiji la Mwanza au jiji la Arusha, huo ni...
  3. Gwimka

    JamiiForums Tanzania Ikulu mpya na maswali

    Acha upoyoyo ww iv hapo ulipo unafaidika nn na ikulu? au unajua ni pesa kiasi gn itagharimu ktk kuuhudumia ikulu plus uwanja plus wafanyakaz nk. au ile unabiwa bajet ya serikali ni billion 700 kwa mfano af bajet ya matumiz ya kawaida billion 670 af bajet ya matendeleo bill30 ? ukipiga mahesab ya...
  4. Gwimka

    JamiiForums Tanzania Watanzania wenye akili wanataka kuona nchi inakimbia kimaendeleo na si Ikulu Mpya kusifiwa na Wanafiki na Mafisadi

    Ukifanya kazi wala huwezi wadhihaki waliotangulia mbele za haki tatizo kichwa kinauma ili upate tu hela ukanunue iphon12
  5. Gwimka

    JamiiForums Tanzania Papa Francis: Mapenzi ya Jinsia Moja siyo Kosa, siyo Uhalifu, lakini ni Dhambi

    Kaja Afrika mbn hamjamwambia ukweli?
  6. Gwimka

    JamiiForums Tanzania Prof. Janabi apiga marufuku wagonjwa kusukumwa kwenye vitanda Muhimbili

    Kutoka mwaisel mpk sewahaji ndinga duh !? haya bhana
  7. Gwimka

    JamiiForums Tanzania Maoni kwa Masanja Mkandamizaji

  8. Gwimka

    JamiiForums Tanzania Hivi TRA kwa sasa hawatangazi makusanyo kila mwezi?

    Yaan we ni kiazi asa hp mgufuri ankujaje u na ww ndo wale wa kujipenyeza ?
  9. Gwimka

    JamiiForums Tanzania Naombeni suluhisho la 'Kikatili' la Kukabiliana na Paka wanaolia kama Watoto Wachanga Majumbani Nyakati za Usiku tu

    Hao wanyama ndivyo walivyo ndo walivyoumbwa kulia hivyo ila ikiwa km una element za kishirikina ndo utateseka sn
  10. Gwimka

    JamiiForums Tanzania Dawasa wanatupiga

    Hili lina ukweli kwa % kubwa
  11. Gwimka

    JamiiForums Tanzania Lubengela village, Kigoma. Kijiji pekee chenye wanawake weupe na wazuri kwa muonekano

    C lazima et mwanamke mzuri awe mweupe acha tabia za kisukuma we boya
  12. Gwimka

    JamiiForums Tanzania Waliorejea shuleni baada ya kujifungua waomba hosteli kuishi na watoto

    Wakimaliza kujengewa wajengewe na za wababa wa watoto wao
Back
Top Bottom