Naiomba serikari kitu hiki

Naiomba serikari kitu hiki

Gwimka

Senior Member
Joined
Apr 4, 2021
Posts
101
Reaction score
112
Ni muda sasa wa Serikali kuirudishia hadhi Dar es salaam iitwe jiji kama zamani.

Kitendo kuiita eti mkoa wa Dar es salaam ni kuikosea heshima Dar es salaam, haiwezekani wala haiingii akilini eti Dar es Salaam iitwe mkoa halafu eti Mwanza na Arusha iitwe jiji la Mwanza au jiji la Arusha, huo ni upofu.
 
Ni muda sasa wa serikali kuirudishia hadhi Dar es salaam iitwe alJiji km zamani kitendo kuiita et mkoa wa Dar es salaam ni kuikosea heshima Dar es salaam haiwezekani wala haiingii akilini et Dar iitwe mkoa af et Mwanza na arusha iitwe jiji la mwanza au jiji la arusha huo ni upofu
Tambua kwanza Mkoa na Jiji zinavyotumika.

Ni kwamba vyote vinatumika katika uwasilishaji katika utawala. Endapo ni kwa muktadha wa Serikali Kuu, basi ni Mkoa wa Dar es Salaam.

Kama ni kwa tawala za Halmashauri na Serikali za mtaa, basi ni Jiji la Dar es Salaam. Magufuli alibadilisha wapi sijui, ila still kuna Halmashauri ina hadhi ya Jiji.

Kwa nyakati tofauti, Arusha na Mwanza ni Mikoa. Na kwa nyakati zinginezo ni majiji.

Hili somo ungepaswa kulipia, ila nimekupa bure. Tafuta maarifa.
 
Taahira mwingine huyu tena.
unaacha kuombea kijiji chenu angalau hata umeme wa REA ufike unakaza fuzu ati jiji.
Jiji mara ngapi?
Ilala inatosha.
 
Back
Top Bottom