Nimekuelewa sana mkuu, I wish nigekuwa na courage hiyo hiyo.... yan furaha yangu nimeeka kwa mtu nkitegemea atanipa furaha lakini wap naishia kupata maumivu kila siku nataman kutoka lakini nashindwa
Doooh bora umesahau..story yako haitofautian sana na yangu..kwa upande mwngne umenipa courage ya ku move on bila kurudi kurudi maana huwa najionaga cwez kabisaa....jf imenisaidia sana kupata relief ya mambo yangu meng..
Utafiti wake bado sana..unamwacha mchaga,msukuma..kuna kit tena apo...et mnyaturu...?!!ni rangi au wat about sehemu nyngne??ili mtu awe mzuri awe vip akidh vigezo...yeye kaona weupe wanyaturu anasena noumaa 😁😁
Hiyo list bado kabisa mkuu...list hakuna wachaga bado sana..alafu kuna makabila umeeka apo hayastahili kuwepo..kama uzuri unaangalia rangi sawa.. Ila kama unaanglia sector zote mchaga yupo top 3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.