Recent content by Gwaje Shabani

  1. G

    Biashara ya Kuuza Mkaa: Uzoefu, Vibali vya kuchoma, Changamoto na Ushauri

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Sawa mkuu Asante
  2. G

    Biashara ya Kuuza Mkaa: Uzoefu, Vibali vya kuchoma, Changamoto na Ushauri

    Nataka kufanya biashara Ya Mkaa Kutoka Mkoani kuleta Dar es Salaam. Je! Dar Mkaa Kiroba huwa Wanauzaga bei gani? Na vipi Processes za Watu wa Maliasili kuhusu Kupata Vibali vya Kufanya Biashara iyo Bila Mashaka mashaka Yakusumbuliwa. Ahsante!
  3. G

    Hivi wanawake mna matatizo gani.?Tizama maajabu ya Zamaradi

    Yandani ktk mahusiano tuwaachie Wandani wenyewe wala tusitoe hukumu na kumuona mtu Fulani mkosaji,, Kwan tunachokifanya ni sawa na kujifanya unakijua vizuri kitabu na kudiliki hata kukielezea kwakuangalia Jarida La nnje tu Pasipo kukisoma kilichopo Ndani.
  4. G

    Ni kipi uwenacho kufungua sehemu ya kujaza gess katika majiko?

    Habarini za muda huu? Poleni sana na majukumu ya kila siku, Leo nimekuja na swali ndugu zangu, kwa atakayekuwa mjuzi basi atatusaidia kutuelewesha sote tunao hitaji uelewa juu ya hili. Kima cha chini kabisa cha mtaji ambacho mtu anatakiwa awenacho ni kipi katika kufungua sehemu ya kujaza gess...
  5. G

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Shukran sana kwa urahisi ulio tupatia watanzani katika kuagiza bidhaa nnje ya Nchi. Je, kama mtu anahitaji kuja ofisini kwenu moja kwa moja Mnapatikana wapi?
  6. G

    Biashara ya Nguo za Mtumba: Ushauri na Muongozo wa Kuifanya kwa Mafanikio

    Habari zenu za Majukumu Ndugu zangu. Bila shaka Muwazima, nami Nashukuru kama Ni ivyo ila Kama hauko vizuri basi usipoteze Matumaini yako Kwa Mwenyezi Mungu endelea kumuomba. Nina hitaji kufanya biashara ya Nguo za Mitumba aina Ya Suluali Za Cadet. Nimegundua ninapo ishi hizi nguo Zina Soko...
  7. G

    Dhahabu gram 1 ni shilingi ngapi?

    Ni aina Ya Madini ambayo Yanatumika kutengeneza vitu vya Thamani kama Pete, mikufu na kadhalika.
  8. G

    Dhahabu gram 1 ni shilingi ngapi?

    Shukran sana.. Hiyo Ibma ni nn au nisawa sawa na gram
  9. G

    Dhahabu gram 1 ni shilingi ngapi?

    Habari zenu kwa ujumla, Shida yangu ni kujua bei ya dhahabu, nina pete ya dhahabu gram moja, inauzwaje kwa Sonara?
  10. G

    Huduma na Bidhaa za HALOTEL

    Nina Line ya Halotel Nilikuwa sijaitumia Ndani ya miez mitatu ikafungiwa. Je ninaweza kuwasiliana na huduma kwa wateja wakaifungua au mpaka nisajiri Line nyingine
  11. G

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Nina Pesa TSh. 500,000/= (Laki tano) Nina taka Nifanye biashara Nipo mkoani (Mazingira ya mjini) ila sijajua Nifanye biashara gani Maana si mzoefu kabisa wa biashara na Hali bado ni Ngumu Ninaona kitu cha msingi ni bora kujichanganya na Pesa hii hii Ndogo niliyo Nayo. Shukrani kwa usikivu...
Back
Top Bottom