Recent content by Gwagwala

  1. G

    JamiiForums Tanzania Nimetokea kummiss Hayati Magufuli, sifikirii kama tutapata tena kiongozi kama huyu tena karibuni

    Nimesoma comment zote katika hii post.Nilichogundua ni wengi wanaojaribu kumponda Magufuli wanatumia nguvu Kubwa Sana kuaminisha kuwa hafai. Wengine wanatoa lawama za jumla bila kujali nafasi aliyokuwepo mfano:Akiwa waziri-watu hawaukumu kwa Ile nafasi yake kwamba alifanya hiki kibaya na hiki...
  2. G

    JamiiForums Tanzania Huenda alikuwa dhalimu lakini usimamizi wa rasilimali za umma na utendaji kazi wake ulimbeba sana kwa raia wa hali ya chini kumkubali

    Magufuli alikuwa ni mzalendo wa kweli,Vitendo vyake vinaashiria hilo. Yote ya yote Kwa muda wake mfupi amefanya makubwa mengi ambayo yanaendelea kuonekana bila kujieleza saana. Ingawa kunawengine wanasema alikuwa anatimiza mipango iliyokwisha kupangwa,Lakini kupanga sio kutekeleza. Pamoja na...
  3. G

    JamiiForums Tanzania Kufeli kwa mwanafunzi kunasababishwa na kufundishwa na mwalimu au mkufunzi asiye na uwezo wa kuwasilisha mada na kueleweka

    Kuhusu ufaulu hafifu sio kweli.Jaribu kuangalia selection za kidato cha nne za mwaka huu. Wengi walioenda uwalimu ni division 2&3 tena waliofaulu hesabu na masomo ya sayansi.Bila three kwenda juu unakosa vigezo kabisa vya kwenda uwalimu
  4. G

    JamiiForums Tanzania Polepole, Sio kila blunder wakati wa utawala wa Magufuli wakalaumiwa mtandao; hii ni kufanya watu ni wajinga na vilaza

    Mimi nachoona,Magufuri alikuwa mzalendo wa kweli haswaa!!
  5. G

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Kinauzwa Kibaha-Visiga Km1 kutoka Moro road

    Kiwanja Kinauzwa Kibaha-Visiga(Kwa daladala Unashuka Kwa kipofu au madafu kwani kipo Kati ya vituo hivyo viwili. Eneo la kiwanja ni Mita za mraba 408, Huduma zote muhimu zipo kama maji,Umeme, shule ya serikali na private zipo karibu na eneo. Bei ni milion 3.7 Mawasiliano:SIM no.0658500812
  6. G

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Kinauzwa Kibaha-Visiga Km 1 kutoka Moro road

    Kiwanja Chenye eneo la Mita za mraba 408 Kinauzwa sh.Milioni 3.7 Kipo Visiga madafu(Kwa usafiri wa daradara Unashuka Kwa kipofu au madafu Kwani eneo lipo Kati ya vituo hvyo viwili) ,umbali wa km 1 kutoka Barbara kuu (Moro road). Huduma za msingi zipo kama vile maji ya DAWASCO,Umeme,Shule ya...
  7. G

    JamiiForums Tanzania Kwahiyo vijijini mtu anaweza kuuliwa kwa kuiba laptop ya laki mbili !?

    Wewe mwenye akili umechukua hatua gani ya kuwawajibisha mafisadi ili na sisi huku wa vjijini tujifunze kwako.
  8. G

    JamiiForums Tanzania Video ikimuonyesha Raia wa Israel akimpiga mtoto wa Kiirani Airport

    Duuh!Roho ya kishetani hiyo.Ngoja wa Israel weusi waje kumtetea.
  9. G

    JamiiForums Tanzania Twendeni kwenye page za FIFA na CAF tukaishataki Tanzania kuingiza siasa kwenye mpira ifungiwe Ili taifa likombolewe

    Najaribu kuwaza.Tanzania ikifungiwa katika mpira,raia watajadili nini vijiweni
  10. G

    JamiiForums Tanzania Kuhama chuo binafsi kwenda cha serikali

    Mkuu,hujasoma bandiko?mbona ameeleza hapo kwamba Sababu ya gharama!
  11. G

    JamiiForums Tanzania Mjukuu wa Bakhressa akiwa na kinywaji cha Red Bull mkononi na sio Azam Energy

    Mbona hii ni tofauti na ya kwenye bandiko!
  12. G

    JamiiForums Tanzania Hachafuliki: Tunampenda Rais Dikteta na Kichaa Aliyefanya haya

    MAGUFULI NI RAIS BORA ZAIDI KUWAHI KUTOKEA TANZANIA .
Back
Top Bottom