Jaribu kumuelewa mtoa mada.Ni kuwa kutaka kujua sababu ya jambo fulani kufanyika kunaweza kuwa na sababu mbalimbali,lakini sababu ambayo imewagusa wengi inaweza kuwa sababu kuu.
Mfano:Chanzo cha watoto wa mtaani ni uyatima,haimaanishi watoto wote wa mtaani ni mayatima.
Mimi nilisumbuliwa sana na vidonda vya tumbo.Katika kuhangaika Sana nikakutana na Ushauri wa kutumia juisi ya cabbage.Ingawa nilikua napata nafuu mara chache nikakutana na hii ya kutumia juisi ya ukwaju wenyewe harisia.Nilitumia mara ya kwanza tu nikaanza kuona mabadiriko.Nikatumia kama dozi ya...
Bila shaka huu ni muhula wa pili na umekiri kuwa sababu ni kutolipa Ada ya muhula wa pili.
Kwanini usilipe tu hiyo ada kama makubaliano yaliyowekwa kuliko kutumia kinga ya watoto kutosumbuliwa.Au muhamishie mtoto shule zisizo toza Ada kama kulipa hiyo ada ni utata ili kumuepusha mtoto na hizo...
Nimesoma comment zote katika hii post.Nilichogundua ni wengi
wanaojaribu kumponda Magufuli wanatumia nguvu Kubwa Sana kuaminisha kuwa hafai.
Wengine wanatoa lawama za jumla bila kujali nafasi aliyokuwepo mfano:Akiwa waziri-watu hawaukumu kwa Ile nafasi yake kwamba alifanya hiki kibaya na hiki...
Magufuli alikuwa ni mzalendo wa kweli,Vitendo vyake vinaashiria hilo.
Yote ya yote Kwa muda wake mfupi amefanya makubwa mengi ambayo yanaendelea kuonekana bila kujieleza saana. Ingawa kunawengine wanasema alikuwa anatimiza mipango iliyokwisha kupangwa,Lakini kupanga sio kutekeleza.
Pamoja na...
Kuhusu ufaulu hafifu sio kweli.Jaribu kuangalia selection za kidato cha nne za mwaka huu.
Wengi walioenda uwalimu ni division 2&3 tena waliofaulu hesabu na masomo ya sayansi.Bila three kwenda juu unakosa vigezo kabisa vya kwenda uwalimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.