Recent content by Gwagwala

  1. G

    JamiiForums Tanzania Ushauri unahitajika

    Nashukuru sana Kwa maoni yenu,yamesaidia sana katika kuhitmisha nini nifanye. Ahsanteni sana
  2. G

    JamiiForums Tanzania Ushauri unahitajika

    Ndio
  3. G

    JamiiForums Tanzania Ushauri unahitajika

    Ahsante kwa Ushauri mkuu Ndio
  4. G

    JamiiForums Tanzania Ushauri unahitajika

    Ahsante kwa Ushauri mkuu,Ukweli nikuwa huku online learning kuacha sipo tayari kabisa.Hasa Kwa kuwa nachojifunza nimeona kinagusa kabisa maisha yangu na kimenibadilisha kwa kiasi fulani. Ninachotaka kujua ni ugumu wa huku kwingine kama nitaweza kuchagua moja ili nifanye na Ile ya online, 2 in one.
  5. G

    JamiiForums Tanzania Ushauri unahitajika

    Ahsante kwa mawazo mazuri mkuu.
  6. G

    JamiiForums Tanzania Ushauri unahitajika

    Mh! Ushauri unahitajika mkuu.
  7. G

    JamiiForums Tanzania Ushauri unahitajika

    Askofu Mihayo Tabora
  8. G

    JamiiForums Tanzania Ushauri unahitajika

    Liverpool VPN STUKA M1 plock Elvis Legacy Mawazo yenu tafadhari!!...
  9. G

    JamiiForums Tanzania Ushauri unahitajika

    Ni mtumishi (Mwalimu msingi) aliyeamua kujiendeleza.Aliomba kuwekwa kwenye mpango wa masomo kwa miaka mitatu bila kufanikiwa.Mwaka Jana September,Akaamua kuomba scholarship katika chuo kikuu kimoja chini marekani(online) vilevile akawa ameomba tena kuwekwa kwenye mpango wa masomo...
  10. G

    JamiiForums Tanzania Tumseme vibaya Magufuli kwa yote na mimi sijawahi kua mufuasi wake ila ukweli ni kua Magufuli hakua anaupenda sana Urais kama Samia

    Magufuli Alikuwa raisi mzalendo kuliko Marais wote walipata kutokea Tanzania. Naamini hata Vifo vya October 29 visingetokea chini yake kwani alipenda raia wake.
  11. G

    JamiiForums Tanzania Wazazi wote piteni hapa (miaka 20 ya maumivu)

    Jaribu kumuelewa mtoa mada.Ni kuwa kutaka kujua sababu ya jambo fulani kufanyika kunaweza kuwa na sababu mbalimbali,lakini sababu ambayo imewagusa wengi inaweza kuwa sababu kuu. Mfano:Chanzo cha watoto wa mtaani ni uyatima,haimaanishi watoto wote wa mtaani ni mayatima.
  12. G

    JamiiForums Tanzania Naomba mnishauri, nasumbuliwa na vidonda vya tumbo

    Mimi nilisumbuliwa sana na vidonda vya tumbo.Katika kuhangaika Sana nikakutana na Ushauri wa kutumia juisi ya cabbage.Ingawa nilikua napata nafuu mara chache nikakutana na hii ya kutumia juisi ya ukwaju wenyewe harisia.Nilitumia mara ya kwanza tu nikaanza kuona mabadiriko.Nikatumia kama dozi ya...
  13. G

    JamiiForums Tanzania HOJA Walimu na Uongozi wa Diamond Primary School wametoa Wapi haki ya kuwanyang'anya watoto wetu mabegi ya shule na kuwatenga madarasani?!

    Tatizo unalialia Sana mpaka unashindwa kujieleza Vizuri.Lipa Ada mwanao asisumbuliwe.
  14. G

    JamiiForums Tanzania HOJA Walimu na Uongozi wa Diamond Primary School wametoa Wapi haki ya kuwanyang'anya watoto wetu mabegi ya shule na kuwatenga madarasani?!

    Bila shaka huu ni muhula wa pili na umekiri kuwa sababu ni kutolipa Ada ya muhula wa pili. Kwanini usilipe tu hiyo ada kama makubaliano yaliyowekwa kuliko kutumia kinga ya watoto kutosumbuliwa.Au muhamishie mtoto shule zisizo toza Ada kama kulipa hiyo ada ni utata ili kumuepusha mtoto na hizo...
  15. G

    JamiiForums Tanzania Wananchi wa North Korea wanaishi kwa mateso sana

    Uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo.Ndo maana unaookoteza vihabari vya kizushi.
Back
Top Bottom