Recent content by Gwagwala

  1. G

    JamiiForums Tanzania Wazazi wote piteni hapa (miaka 20 ya maumivu)

    Jaribu kumuelewa mtoa mada.Ni kuwa kutaka kujua sababu ya jambo fulani kufanyika kunaweza kuwa na sababu mbalimbali,lakini sababu ambayo imewagusa wengi inaweza kuwa sababu kuu. Mfano:Chanzo cha watoto wa mtaani ni uyatima,haimaanishi watoto wote wa mtaani ni mayatima.
  2. G

    JamiiForums Tanzania Naomba mnishauri, nasumbuliwa na vidonda vya tumbo

    Mimi nilisumbuliwa sana na vidonda vya tumbo.Katika kuhangaika Sana nikakutana na Ushauri wa kutumia juisi ya cabbage.Ingawa nilikua napata nafuu mara chache nikakutana na hii ya kutumia juisi ya ukwaju wenyewe harisia.Nilitumia mara ya kwanza tu nikaanza kuona mabadiriko.Nikatumia kama dozi ya...
  3. G

    JamiiForums Tanzania HOJA Walimu na Uongozi wa Diamond Primary School wametoa Wapi haki ya kuwanyang'anya watoto wetu mabegi ya shule na kuwatenga madarasani?!

    Tatizo unalialia Sana mpaka unashindwa kujieleza Vizuri.Lipa Ada mwanao asisumbuliwe.
  4. G

    JamiiForums Tanzania HOJA Walimu na Uongozi wa Diamond Primary School wametoa Wapi haki ya kuwanyang'anya watoto wetu mabegi ya shule na kuwatenga madarasani?!

    Bila shaka huu ni muhula wa pili na umekiri kuwa sababu ni kutolipa Ada ya muhula wa pili. Kwanini usilipe tu hiyo ada kama makubaliano yaliyowekwa kuliko kutumia kinga ya watoto kutosumbuliwa.Au muhamishie mtoto shule zisizo toza Ada kama kulipa hiyo ada ni utata ili kumuepusha mtoto na hizo...
  5. G

    JamiiForums Tanzania Wananchi wa North Korea wanaishi kwa mateso sana

    Uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo.Ndo maana unaookoteza vihabari vya kizushi.
  6. G

    JamiiForums Tanzania Wananchi wa North Korea wanaishi kwa mateso sana

    Ya kwetu yanatushinda ,tunasubiri ya uzushi ya kuambiwa ya nchi nyingine🚶🚶
  7. G

    JamiiForums Tanzania Kama maslahi ya walimu nchini ni madogo, kwanini walimu wasiombe ajira kwenye nchi za kimataifa zinazolipa vizuri?!

    Bwashee, tuwekee hizo fursa na sisi majobless tuzione.
  8. G

    JamiiForums Tanzania Mbunge Msukuma unatuma ujumbe gani kwa Rais Samia?

    Na baado hawajasema .......mpaaka wasemee!!!
  9. G

    JamiiForums Tanzania Nchi 10 zenye amani Afrika, Tanzania haimo. Salaam kwa Samia na Mwigulu

    Mwenye bandiko ametoa marejeo ya taarifa yake,wewe unajibu kwa "huenda"
  10. G

    JamiiForums Tanzania Maandamano sio Njia sahihi ya kupingana na huu utawala dhalimu

    Ukisubiri kila kitu Mungu akufanyie,Utasubiri saana na pengine isitokee
  11. G

    JamiiForums Tanzania Niliyojifunza kutoka kwa Hayati Magufuli

    Lakini ukweli usemwe,Magufuli alikuwa mzalendo wa Kweli.
  12. G

    JamiiForums Tanzania Nimetokea kummiss Hayati Magufuli, sifikirii kama tutapata tena kiongozi kama huyu tena karibuni

    Nimesoma comment zote katika hii post.Nilichogundua ni wengi wanaojaribu kumponda Magufuli wanatumia nguvu Kubwa Sana kuaminisha kuwa hafai. Wengine wanatoa lawama za jumla bila kujali nafasi aliyokuwepo mfano:Akiwa waziri-watu hawaukumu kwa Ile nafasi yake kwamba alifanya hiki kibaya na hiki...
  13. G

    JamiiForums Tanzania Huenda alikuwa dhalimu lakini usimamizi wa rasilimali za umma na utendaji kazi wake ulimbeba sana kwa raia wa hali ya chini kumkubali

    Magufuli alikuwa ni mzalendo wa kweli,Vitendo vyake vinaashiria hilo. Yote ya yote Kwa muda wake mfupi amefanya makubwa mengi ambayo yanaendelea kuonekana bila kujieleza saana. Ingawa kunawengine wanasema alikuwa anatimiza mipango iliyokwisha kupangwa,Lakini kupanga sio kutekeleza. Pamoja na...
  14. G

    JamiiForums Tanzania Kufeli kwa mwanafunzi kunasababishwa na kufundishwa na mwalimu au mkufunzi asiye na uwezo wa kuwasilisha mada na kueleweka

    Kuhusu ufaulu hafifu sio kweli.Jaribu kuangalia selection za kidato cha nne za mwaka huu. Wengi walioenda uwalimu ni division 2&3 tena waliofaulu hesabu na masomo ya sayansi.Bila three kwenda juu unakosa vigezo kabisa vya kwenda uwalimu
  15. G

    JamiiForums Tanzania Polepole, Sio kila blunder wakati wa utawala wa Magufuli wakalaumiwa mtandao; hii ni kufanya watu ni wajinga na vilaza

    Mimi nachoona,Magufuri alikuwa mzalendo wa kweli haswaa!!
Back
Top Bottom