Nimesoma comment zote katika hii post.Nilichogundua ni wengi
wanaojaribu kumponda Magufuli wanatumia nguvu Kubwa Sana kuaminisha kuwa hafai.
Wengine wanatoa lawama za jumla bila kujali nafasi aliyokuwepo mfano:Akiwa waziri-watu hawaukumu kwa Ile nafasi yake kwamba alifanya hiki kibaya na hiki...
Magufuli alikuwa ni mzalendo wa kweli,Vitendo vyake vinaashiria hilo.
Yote ya yote Kwa muda wake mfupi amefanya makubwa mengi ambayo yanaendelea kuonekana bila kujieleza saana. Ingawa kunawengine wanasema alikuwa anatimiza mipango iliyokwisha kupangwa,Lakini kupanga sio kutekeleza.
Pamoja na...
Kuhusu ufaulu hafifu sio kweli.Jaribu kuangalia selection za kidato cha nne za mwaka huu.
Wengi walioenda uwalimu ni division 2&3 tena waliofaulu hesabu na masomo ya sayansi.Bila three kwenda juu unakosa vigezo kabisa vya kwenda uwalimu
Kiwanja Kinauzwa Kibaha-Visiga(Kwa daladala Unashuka Kwa kipofu au madafu kwani kipo Kati ya vituo hivyo viwili.
Eneo la kiwanja ni Mita za mraba 408, Huduma zote muhimu zipo kama maji,Umeme, shule ya serikali na private zipo karibu na eneo.
Bei ni milion 3.7
Mawasiliano:SIM no.0658500812
Kiwanja Chenye eneo la Mita za mraba 408 Kinauzwa sh.Milioni 3.7
Kipo Visiga madafu(Kwa usafiri wa daradara Unashuka Kwa kipofu au madafu Kwani eneo lipo Kati ya vituo hvyo viwili) ,umbali wa km 1 kutoka Barbara kuu (Moro road).
Huduma za msingi zipo kama vile maji ya DAWASCO,Umeme,Shule ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.