Kilichotokea kwa mgeni rasmi Jaji Joseph Sinde Warioba leo ni kitu kinachoitwa Vasomotor collapse syndrome au neuro cardiogenic syncope cum vasovagal syncope. Hali hiyo ya hatari huweza kumtokea mtu yeyote anayesimama kwa muda mrefu juani na kuathiri mzunguko kamili wa damu mwilini.
Ukifanya...
Kizuizini ni kifungo cha maisha uraiani. Ni kutengwa kabisa na umma ukiwa na watu wako wachache wa karibu hasa mke au mume. Mara nyingi huamuliwa na kifo. Detention act ilitesa sana watu enzi za Mwalimu, sina hakika kama bado ipo kwenye vitabu vyetu vya sheria lakini kwa kiwango kikubwa inakiuka...
Kwani CCM mmeacha lini kulindana? Mtindo wa kulindana? Scratch my back I scratch yours imejithibitisha juzi tu hapa kwa kumuondoa Balozi Nchimbi kisa kasema ukweli unaokubalika kwa nchi nzima lakini nyie hamtaki kuukubali kwa hofu ya kufungwa kama alivyo tutahadharisha Balozi Humphrey Pole Pole.
Garbage 🗑️ IN.... Garbage 🗑️ OUT kama Samia,... elimu za kuungaunga na kupambwa na degree /Doctorate za uheshimiwa kutoka vyuo visivyo na majina vinavyopambania kutambulika. 😳
Haihitaji maelezo mengi zaidi ya ukweli kuwa takwa la kuandika katiba upya ni la msingi na linahitajika sasa.
Katiba inatakiwa kuandikwa upya kwa kuzingatia mahitaji ya sasa baada ya miaka sitini, Mchakato unatakiwa uwe na kazi ya kuichambua Katiba iliyopo na kuboresha pale inapopwaya...
Inashangaza sana kuona kando ya barabara yanabandikwa mabango ya CCM yakimnadi Samia hadi siku ya leo, unajiuliza hivi hii nchi inafuata sheria za nchi au inaongozwa kifamilia?
Barabara ziko kwenye mamlaka za TANROAD na Halmashauri ya Jiji miji au wilaya, zinaruhusu vipi taasisi au mtu kuweka...
Tanzania once an icon in political arena has now been turned into bad example of vote rigging machinery that has been founded by CCM party that had undergone total political degeneration that is spreading to the southern neighbor.... What a shame! :oops::oops...
Miafrika huwa haiwezi kujiongoza bila kuswagwa kama mifugo. Angalia mtu kama Kabudi hivi majuzi anatuambia Rais wa Kizimkazi ameletwa na Mungu hivyo tumpende na tumheshimu, na huyu ni kiongozi wa nchi mojawapo hapa Afrika tena anajiita msomi kutoka chuo kimoja kikubwa cha jalalani, Bara la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.