Katika Idara na vitengo vya Serikali vilivyojisahau na kubaki kwenye ujima ni NIDA. Hivi hawa watu wanashindwa nini kutumia masanduku ya barua, anuani za makazi na simu za mkononi kuwasilisha vitambulisho vilivyokamilika kwa walioomba vitambulisho? Nimepita Ukonga juzi nilishangazwa na utaratibu...
Serikali yenyewe imeingia ubia na CRDB kupitia TAMISEMI eti kufadhiri miradi ya miundombinu, wakati hakuna kinachoendelea, barabara zote Dar zinageuka mito wakati kama huu wa mvua.
CRDB ina watumishi wezi wa kalamu. Hawa watu huchepusha pesa za wateja kwa kutumia accounts zisizotumika sana kama zile za zamani zilizoanzishwa mfano Simaccounts. Badala ya kuzifunga kama hazitumiki zimebakia kuwa vichaka vya huchepusha na kuficha pesa za wateja wasioelewa sana taratibu za...
Kama kiongozi mkuu wa nchi ameuawa mwanzoni mwa mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran, ni wazi kiongozi mkuu wa Israel yuko kwenye target 🎯 kifo ni lazima kama walivyomfanya Ayatollah.... Inaweza kuwa sasa au hata siku za usoni.
Vodacom naona wamashikwa pabaya na wahuni. Internet yao kwishnei .... Ni mwendo wa Yas au Airtel ambao huko nyuma wakiburuza mkia. 😂 Mwisho wa maigizo yanajaribiwa!!. Nerd 🤓
Inashangaza sana jinsi wanasiasa wetu hawa wanaCCM wanavyo jitia upofu na kuufumbia macho ukweli uliowekwa wazi na TAL.
Muungano huu ni mithiri ya ndoa za utotoni zinazofungishwa na mashehe wanaotumia vitisho kufanikisha lengo la uwepo wa amani japo haki za msingi zimekiukwa.
Muungano huu ni...
Ziko vizuri tu, Nina Alcatel router ya Vodacom tangu mwaka juzi inapiga kazi kulindana na mahitaji yangu ya kila siku. Kwa miaka yote natumia vifurushi vya Internet vya wiki kwa shs 5000.
Sijawahi kukwama labda pale CCM/TCRA wanapoingilia kati kama ilivyokuwa October 29. 😆
Utalaamu huu wanaoweza kuusimamia na kuonyesha mafanikio ni Rwanda peke yake katika eneo hili la Africa mashariki na kati. 🤔 https://x.com/i/status/2026207255809384480
Kama ucheleweshaji ulitokana na hali mbaya ya hewa pamoja na uoni hafifu wa kiwanja kama ilivyofafanuliwa basi Serikali isikwepe lawama wala Air Tanzania wasikingiwe kifua kwa utamaduni wa kulindana....
Mwanza airport inapaswa kuwa na miundombinu na mfumo unaoitwa ILS hai na tayari wakati wote...
Nina mtu wangu wa karibu ameisha tutangazia kuwa mwisho wa uhai wake atataka mwili wake uchomwe. Kupitia mada hii naomba unijuze utaratibu wa kufuatwa ikiwemo gharama zake.
Natanguliza shukrani. 🙏
Mijitu imeishaanza kuuza hata akiba ya dhahabu ya taifa, itapata wapi tena hela ya kuchezea?....
Wafadhili wanaochangia pesa ndefu unawaambia "Who are you" kama mlevi wa ulanzi ... Unategemea nini zaidi ya kidole cha kati? 😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.