Recent content by GwaB

  1. GwaB

    Tembelea website ya NIDA kujua kama kitambulisho chako kipo tayari

    Katika Idara na vitengo vya Serikali vilivyojisahau na kubaki kwenye ujima ni NIDA. Hivi hawa watu wanashindwa nini kutumia masanduku ya barua, anuani za makazi na simu za mkononi kuwasilisha vitambulisho vilivyokamilika kwa walioomba vitambulisho? Nimepita Ukonga juzi nilishangazwa na utaratibu...
  2. GwaB

    Msitoe pesa CRDB ATM ya Royal Dodoma. Ni wezi

    Serikali yenyewe imeingia ubia na CRDB kupitia TAMISEMI eti kufadhiri miradi ya miundombinu, wakati hakuna kinachoendelea, barabara zote Dar zinageuka mito wakati kama huu wa mvua.
  3. GwaB

    Msitoe pesa CRDB ATM ya Royal Dodoma. Ni wezi

    CRDB ina watumishi wezi wa kalamu. Hawa watu huchepusha pesa za wateja kwa kutumia accounts zisizotumika sana kama zile za zamani zilizoanzishwa mfano Simaccounts. Badala ya kuzifunga kama hazitumiki zimebakia kuwa vichaka vya huchepusha na kuficha pesa za wateja wasioelewa sana taratibu za...
  4. GwaB

    Tetesi za kuuliwa Netanyahu zazidi kushika kasi

    Kama kiongozi mkuu wa nchi ameuawa mwanzoni mwa mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran, ni wazi kiongozi mkuu wa Israel yuko kwenye target 🎯 kifo ni lazima kama walivyomfanya Ayatollah.... Inaweza kuwa sasa au hata siku za usoni.
  5. GwaB

    Nini kinaendelea? Internet ni shida na Askari wapo kila kona

    Vodacom naona wamashikwa pabaya na wahuni. Internet yao kwishnei .... Ni mwendo wa Yas au Airtel ambao huko nyuma wakiburuza mkia. 😂 Mwisho wa maigizo yanajaribiwa!!. Nerd 🤓
  6. GwaB

    Tundu Lissu ndiye jasiri wa kuirudisha Tanganyika, Mungu amtetee

    Inashangaza sana jinsi wanasiasa wetu hawa wanaCCM wanavyo jitia upofu na kuufumbia macho ukweli uliowekwa wazi na TAL. Muungano huu ni mithiri ya ndoa za utotoni zinazofungishwa na mashehe wanaotumia vitisho kufanikisha lengo la uwepo wa amani japo haki za msingi zimekiukwa. Muungano huu ni...
  7. GwaB

    Paschal Mayalla: Mwigulu Nchemba hakufurahia Majaliwa, Warioba na Pinda kushangiliwa kwenye mazishi ya Kardinali Pengo

    Tofauti ni kwamba waziri mkuu mstaafu hakuwahi kutufokea na kutushauri tuhamie Burundi kama hatukubaliani na hali 🤓
  8. GwaB

    Hizi pocket router za Voda zikoje? Naombeni ushauri kabla sijajichanganya

    Ziko vizuri tu, Nina Alcatel router ya Vodacom tangu mwaka juzi inapiga kazi kulindana na mahitaji yangu ya kila siku. Kwa miaka yote natumia vifurushi vya Internet vya wiki kwa shs 5000. Sijawahi kukwama labda pale CCM/TCRA wanapoingilia kati kama ilivyokuwa October 29. 😆
  9. GwaB

    Mtandao wa barabara nchi nzima umeanza kuporomoka!

    Utalaamu huu wanaoweza kuusimamia na kuonyesha mafanikio ni Rwanda peke yake katika eneo hili la Africa mashariki na kati. 🤔 https://x.com/i/status/2026207255809384480
  10. GwaB

    Huyu Dogo Zungu ajiangalie sana kauli zake

    Kama ucheleweshaji ulitokana na hali mbaya ya hewa pamoja na uoni hafifu wa kiwanja kama ilivyofafanuliwa basi Serikali isikwepe lawama wala Air Tanzania wasikingiwe kifua kwa utamaduni wa kulindana.... Mwanza airport inapaswa kuwa na miundombinu na mfumo unaoitwa ILS hai na tayari wakati wote...
  11. GwaB

    Mazishi kwa kuchoma moto mwili wa marehemu( cremation)

    Nina mtu wangu wa karibu ameisha tutangazia kuwa mwisho wa uhai wake atataka mwili wake uchomwe. Kupitia mada hii naomba unijuze utaratibu wa kufuatwa ikiwemo gharama zake. Natanguliza shukrani. 🙏
  12. GwaB

    Kiko wapi? Milioni tano za goli la mama, simsikii Msigwa wala Mchengerwa,

    Mijitu imeishaanza kuuza hata akiba ya dhahabu ya taifa, itapata wapi tena hela ya kuchezea?.... Wafadhili wanaochangia pesa ndefu unawaambia "Who are you" kama mlevi wa ulanzi ... Unategemea nini zaidi ya kidole cha kati? 😂
  13. GwaB

    Kumbukizi: Hili ndio toleo la kwanza la bia ya Serengeti

    Hivi ile bia iliyoitwa "Bingwa" na mwenzie the "Kick" bado zipo sokoni? .... Nina kumbukizi ya "Mtikila" ya mwaka 1994 kabla TBL haijabinafsishwa. 😂
Back
Top Bottom