Hivi kweli kwa nini CCM haikusajiliwa kama chama sawa na vingine wakati mfumo wa vyama vingi uliporuhusiwa mwaka 1992? 🤔
Kwa nini vyama vilivyojisajili kwenye mfumo wa vyama vingi havikumshinikiza msajili wa vyama aisajili pia CCM kama chama cha siasa na sio ChamaDola? 🤔
Nakumbuka zamani pale Clock Tower kulikuwa na nyumba za wageni zenye hadhi tena usalama guaranteed. Nilichukua chumba mapema tu, usiku nikaenda kujivinjari maeneo enzi hizo kuna Club Bilicanas na Ushirika ndio viwanja vya ukweli, Nilikwenda kulala saa 9 usiku hivi, Saa tatu asubuhi mdada...
Kinachokodishwa ni chumba chenye kitanda/vitanda kwa masaa 8 ya kupumzika. Hawakodishi chumba kwa masaa 12 wala 24 kwa sababu masaa ya kulala usingizi huwa hayazidi manane na huwezi kulala masaa 12 au 24.
Ushauri wangu kwa yeyote anayehisi kudhurumiwa ni kujipangia bajeti inayolingana na...
Ukifika wilaya ya Kibondo na Kakonko utabaini uoto asilia na mandhari yasiyotofautiana sana na Geita Runzewe na hata Ushirombo, Najiuliza tu kuwa utafiti ukifanyika Kibondo kuhusu lile dongo jekundu tena mnato sana..... Halmashauri ya wilaya Kibondo na watu wa eneo lote hilo, hawawezi kubadili...
Maana yake ni kuwa kama taifa tunatakiwa kuanza upya kujenga msingi wa nchi hii tukianzia pale alipokosea Mwalimu Julius Nyerere, Hakuitendea haki Tanganyika na ndio msingi wa mfarakano huu ambapo vyama vya siasa na hasa CCM vimejimilikisha mamlaka ya Dola.
Ili kufanikisha lengo tarajiwa ambalo...
Huyo atakuwa ana asili ya Buhigwe kwa akina Babalevo ambako hadi leo mabango ya Samia na CCM yake yametundikwa kwenye nguzo za stima.... Miezi minane baada ya kilichoitwa uchaguzi.
Historia hujirudia. Kuna Don mmoja wa madini kule Mererani/Arusha alijulikana kama "Askofu" alitesa sana mwaka 1995. Mwamba alipata matofali ya Tanzanite ya kutosha kununua magari kadhaa aina ya Landrover, alinunua hotel ya ghorofa kadhaa pale Arusha alijulikana kama Pallson Hotel na kwa wiki...
Sera na sheria zetu za uhamiaji hazieleweki kivile zaidi ya kukopi na kupaste zile za nchi nyingine hasa za Jumuia ya Madola. Kama ulivyo muungano usioeleweka ndivyo ilivyo uhamiaji, Nchi ni shamba la bibi lisilokuwa na walinzi wa mipaka yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.