Hii ni barabara ya mtaa maji yanatiriri kama kijito baada ya mvua za leo, kazi ya wizara yenye mamlaka juu ya maji watalaamu wake hawajawahi kuwa na akili ya kuvuna maji ya mvua na kuyatumia hata kusukuma vinyesi vyooni, lakini konganano la kuimba ukosefu wa maji kuwa historia unakumbatiwa...
Asamehewe tu hajui asemalo na zaidi sana aombewe tu kwani kule kwao Mpitimbi Mfaranyaki na Magagula huitana majina ya ndege na wanyama.... Utasikia huyu ni Nyoni mara Mbega Mbawala n.k. 🤔
Ni zamu ya darasa la saba, form four failure, waliogushi vyeti vya elimu ya kuunga unga na vilaza wa kila sampuli kushika nyazifa nyeti kiutawala hata kama hawatoshi.
Tuwape ushirkiano na kuwavumilia....hakuna namna nyingine. 🤔
Taja hiyo kampuni ya ujenzi iliyoshinda kisha tuzame taratibu kwenye kundi la maarchitects walioshiriki kuchora mchoro wa hilo jengo uone kama mpolo ninayemzungumzia hakuhusika katika mradi huo wa kifisadi.
Architects ndio wanao design jengo kwa niaba ya kampuni ya ujenzi iliyoshinda tenda. Huyo mpolo alikuwa architect aliye design wakati yuko kwa mkataba hapa nchini, kama ulikuwa huna taarifa basi ... Habari ndio hiyo, take it or leave it. 🤓
Waliorusha risasi si walitekeleza amri iliyotolewa na Samia mwenyewe tena hadharani na mchana kweupe? Anapata wapi tena ujasiri wa kuwawajibisha waliotekeleza amri mbaya ya amri jeshi mkuu? 🤔
Vodacom Internet imetekwa na wafanyakazi wezi wa vifurushi na kukata pesa ya huduma ambaya mteja hajaiomba wala kuiridhia.
Siku za hivi karibuni nimelazimika kuhamia Airtel maana na kila ninapolipia vifurushi vya Internet napata mrejesho wa kujiunga lakini huduma ya Internet sipati....Huu ni...
Katika Idara na vitengo vya Serikali vilivyojisahau na kubaki kwenye ujima ni NIDA. Hivi hawa watu wanashindwa nini kutumia masanduku ya barua, anuani za makazi na simu za mkononi kuwasilisha vitambulisho vilivyokamilika kwa walioomba vitambulisho? Nimepita Ukonga juzi nilishangazwa na utaratibu...
Serikali yenyewe imeingia ubia na CRDB kupitia TAMISEMI eti kufadhiri miradi ya miundombinu, wakati hakuna kinachoendelea, barabara zote Dar zinageuka mito wakati kama huu wa mvua.
CRDB ina watumishi wezi wa kalamu. Hawa watu huchepusha pesa za wateja kwa kutumia accounts zisizotumika sana kama zile za zamani zilizoanzishwa mfano Simaccounts. Badala ya kuzifunga kama hazitumiki zimebakia kuwa vichaka vya huchepusha na kuficha pesa za wateja wasioelewa sana taratibu za...
Kama kiongozi mkuu wa nchi ameuawa mwanzoni mwa mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran, ni wazi kiongozi mkuu wa Israel yuko kwenye target 🎯 kifo ni lazima kama walivyomfanya Ayatollah.... Inaweza kuwa sasa au hata siku za usoni.
Vodacom naona wamashikwa pabaya na wahuni. Internet yao kwishnei .... Ni mwendo wa Yas au Airtel ambao huko nyuma wakiburuza mkia. 😂 Mwisho wa maigizo yanajaribiwa!!. Nerd 🤓
Inashangaza sana jinsi wanasiasa wetu hawa wanaCCM wanavyo jitia upofu na kuufumbia macho ukweli uliowekwa wazi na TAL.
Muungano huu ni mithiri ya ndoa za utotoni zinazofungishwa na mashehe wanaotumia vitisho kufanikisha lengo la uwepo wa amani japo haki za msingi zimekiukwa.
Muungano huu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.