Recent content by GwaB

  1. GwaB

    JamiiForums Tanzania Kongamano kubwa la PPP na Wizara ya Maji | Fuatilia ujue kwanini soon shida ya maji nchini itabaki historia

    Hii ni barabara ya mtaa maji yanatiriri kama kijito baada ya mvua za leo, kazi ya wizara yenye mamlaka juu ya maji watalaamu wake hawajawahi kuwa na akili ya kuvuna maji ya mvua na kuyatumia hata kusukuma vinyesi vyooni, lakini konganano la kuimba ukosefu wa maji kuwa historia unakumbatiwa...
  2. GwaB

    JamiiForums Tanzania John Heche amjibu Gerson Msigwa: Msemaji wa Serikali au Serikali inawezaje kuita watu Nguchiro

    Asamehewe tu hajui asemalo na zaidi sana aombewe tu kwani kule kwao Mpitimbi Mfaranyaki na Magagula huitana majina ya ndege na wanyama.... Utasikia huyu ni Nyoni mara Mbega Mbawala n.k. 🤔
  3. GwaB

    JamiiForums Tanzania Tanzania haijawahi kupata Rais kama Samia

    Ni zamu ya darasa la saba, form four failure, waliogushi vyeti vya elimu ya kuunga unga na vilaza wa kila sampuli kushika nyazifa nyeti kiutawala hata kama hawatoshi. Tuwape ushirkiano na kuwavumilia....hakuna namna nyingine. 🤔
  4. GwaB

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Jengo la NSSF Water Front linalotazama na Magufuli SGR Station linafaa kuwa Hoteli yenye hadhi ya Nyota Tano

    Taja hiyo kampuni ya ujenzi iliyoshinda kisha tuzame taratibu kwenye kundi la maarchitects walioshiriki kuchora mchoro wa hilo jengo uone kama mpolo ninayemzungumzia hakuhusika katika mradi huo wa kifisadi.
  5. GwaB

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Jengo la NSSF Water Front linalotazama na Magufuli SGR Station linafaa kuwa Hoteli yenye hadhi ya Nyota Tano

    Architects ndio wanao design jengo kwa niaba ya kampuni ya ujenzi iliyoshinda tenda. Huyo mpolo alikuwa architect aliye design wakati yuko kwa mkataba hapa nchini, kama ulikuwa huna taarifa basi ... Habari ndio hiyo, take it or leave it. 🤓
  6. GwaB

    JamiiForums Tanzania ICC imeishia wapi?

    Waliorusha risasi si walitekeleza amri iliyotolewa na Samia mwenyewe tena hadharani na mchana kweupe? Anapata wapi tena ujasiri wa kuwawajibisha waliotekeleza amri mbaya ya amri jeshi mkuu? 🤔
  7. GwaB

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Jengo la NSSF Water Front linalotazama na Magufuli SGR Station linafaa kuwa Hoteli yenye hadhi ya Nyota Tano

    Architect wa jengo hilo ni mpolo,aliisha tangulia mbele na jengo alilobuni ni White elephant kwa miaka mingi sana. Sidhani kama linatumika. 🤔
  8. GwaB

    JamiiForums Tanzania Vodacom yaboresha M-Pesa, yalenga huduma imara na salama zaidi

    Vodacom Internet imetekwa na wafanyakazi wezi wa vifurushi na kukata pesa ya huduma ambaya mteja hajaiomba wala kuiridhia. Siku za hivi karibuni nimelazimika kuhamia Airtel maana na kila ninapolipia vifurushi vya Internet napata mrejesho wa kujiunga lakini huduma ya Internet sipati....Huu ni...
  9. GwaB

    JamiiForums Tanzania Tembelea website ya NIDA kujua kama kitambulisho chako kipo tayari

    Katika Idara na vitengo vya Serikali vilivyojisahau na kubaki kwenye ujima ni NIDA. Hivi hawa watu wanashindwa nini kutumia masanduku ya barua, anuani za makazi na simu za mkononi kuwasilisha vitambulisho vilivyokamilika kwa walioomba vitambulisho? Nimepita Ukonga juzi nilishangazwa na utaratibu...
  10. GwaB

    JamiiForums Tanzania Msitoe pesa CRDB ATM ya Royal Dodoma. Ni wezi

    Serikali yenyewe imeingia ubia na CRDB kupitia TAMISEMI eti kufadhiri miradi ya miundombinu, wakati hakuna kinachoendelea, barabara zote Dar zinageuka mito wakati kama huu wa mvua.
  11. GwaB

    JamiiForums Tanzania Msitoe pesa CRDB ATM ya Royal Dodoma. Ni wezi

    CRDB ina watumishi wezi wa kalamu. Hawa watu huchepusha pesa za wateja kwa kutumia accounts zisizotumika sana kama zile za zamani zilizoanzishwa mfano Simaccounts. Badala ya kuzifunga kama hazitumiki zimebakia kuwa vichaka vya huchepusha na kuficha pesa za wateja wasioelewa sana taratibu za...
  12. GwaB

    JamiiForums Tanzania Tetesi za kuuliwa Netanyahu zazidi kushika kasi

    Kama kiongozi mkuu wa nchi ameuawa mwanzoni mwa mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran, ni wazi kiongozi mkuu wa Israel yuko kwenye target 🎯 kifo ni lazima kama walivyomfanya Ayatollah.... Inaweza kuwa sasa au hata siku za usoni.
  13. GwaB

    JamiiForums Tanzania Nini kinaendelea? Internet ni shida na Askari wapo kila kona

    Vodacom naona wamashikwa pabaya na wahuni. Internet yao kwishnei .... Ni mwendo wa Yas au Airtel ambao huko nyuma wakiburuza mkia. 😂 Mwisho wa maigizo yanajaribiwa!!. Nerd 🤓
  14. GwaB

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu ndiye jasiri wa kuirudisha Tanganyika, Mungu amtetee

    Inashangaza sana jinsi wanasiasa wetu hawa wanaCCM wanavyo jitia upofu na kuufumbia macho ukweli uliowekwa wazi na TAL. Muungano huu ni mithiri ya ndoa za utotoni zinazofungishwa na mashehe wanaotumia vitisho kufanikisha lengo la uwepo wa amani japo haki za msingi zimekiukwa. Muungano huu ni...
Back
Top Bottom