Recent content by GwaB

  1. GwaB

    JamiiForums Tanzania scrutinize the page that disseminated the mortuary announcement

    Kilichotokea kwa mgeni rasmi Jaji Joseph Sinde Warioba leo ni kitu kinachoitwa Vasomotor collapse syndrome au neuro cardiogenic syncope cum vasovagal syncope. Hali hiyo ya hatari huweza kumtokea mtu yeyote anayesimama kwa muda mrefu juani na kuathiri mzunguko kamili wa damu mwilini. Ukifanya...
  2. GwaB

    JamiiForums Tanzania Nimepewa unabii: Kutakuwa na vifo vya wanafamilia wa Utawala huu

    Geti la kuzimu likiishafunguka huwa linapitisha watu kama linavyoona inafaa .... Tuendelee kutega sikio ardhini.:ACTINUP:
  3. GwaB

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Mimi nilidhani ni feminist aliyevuka viwango vya kimataifa.
  4. GwaB

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Kumbe Samia Suluhu Hassan alikuwa na mume? 😳
  5. GwaB

    JamiiForums Tanzania Mtu akiwekwa kizuizini anaruhusiwa kwenda kanisani ?

    Kizuizini ni kifungo cha maisha uraiani. Ni kutengwa kabisa na umma ukiwa na watu wako wachache wa karibu hasa mke au mume. Mara nyingi huamuliwa na kifo. Detention act ilitesa sana watu enzi za Mwalimu, sina hakika kama bado ipo kwenye vitabu vyetu vya sheria lakini kwa kiwango kikubwa inakiuka...
  6. GwaB

    JamiiForums Tanzania Shabiby: Ndejembi ni Mgogo, wanaoandika kwamba Deo katokea upande fulani, hawaelewi ni Kabila gani. Namfahamu kuanzia kwa babu yake

    Kwani CCM mmeacha lini kulindana? Mtindo wa kulindana? Scratch my back I scratch yours imejithibitisha juzi tu hapa kwa kumuondoa Balozi Nchimbi kisa kasema ukweli unaokubalika kwa nchi nzima lakini nyie hamtaki kuukubali kwa hofu ya kufungwa kama alivyo tutahadharisha Balozi Humphrey Pole Pole.
  7. GwaB

    JamiiForums Tanzania CV ya Makamu wa Rais. Vijana/Wasomi acheni kuchunguza chunguza mambo mpeni tu Ushirikiano.

    Garbage 🗑️ IN.... Garbage 🗑️ OUT kama Samia,... elimu za kuungaunga na kupambwa na degree /Doctorate za uheshimiwa kutoka vyuo visivyo na majina vinavyopambania kutambulika. 😳
  8. GwaB

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Fukuto ndani ya CCM Dodoma linatisha, hali si hali

    Yule asiyejua kutumia kionambali?:rolleyes::oops:
  9. GwaB

    JamiiForums Tanzania Za chini ya kapeti zinasema Stefano Aziz Ki kuukwaa uVP

    Possibles Stevene Wasira, Freeman Mbowe, Paulo Makonda Abdul Amer Suluhu..... Kwenye Serikali ya Kizimkazi.:AwkwardFlushed:
  10. GwaB

    JamiiForums Tanzania Sub za Tundu Lissu zinawatisha wapinzani wanataka wamalize game iishe sare

    https://www.facebook.com/share/p/19e1R4wRbR/
  11. GwaB

    JamiiForums Tanzania Katiba Mpya Tanzania: Je, Tatizo Liko Kwenye Katiba au Kwenye Watu Wanaoiendesha?

    Haihitaji maelezo mengi zaidi ya ukweli kuwa takwa la kuandika katiba upya ni la msingi na linahitajika sasa. Katiba inatakiwa kuandikwa upya kwa kuzingatia mahitaji ya sasa baada ya miaka sitini, Mchakato unatakiwa uwe na kazi ya kuichambua Katiba iliyopo na kuboresha pale inapopwaya...
  12. GwaB

    JamiiForums Tanzania Heche: Mechi ya Simba na Yanga, watu wamevaa jezi zimeandikwa 'Mama, Mitano Tena' Tukisema wanatumiwa kisiasa tumekosea nini?

    Inashangaza sana kuona kando ya barabara yanabandikwa mabango ya CCM yakimnadi Samia hadi siku ya leo, unajiuliza hivi hii nchi inafuata sheria za nchi au inaongozwa kifamilia? Barabara ziko kwenye mamlaka za TANROAD na Halmashauri ya Jiji miji au wilaya, zinaruhusu vipi taasisi au mtu kuweka...
  13. GwaB

    JamiiForums Tanzania Zambia yasitisha uhesabuji wa kura kutokana na vurugu

    Tanzania once an icon in political arena has now been turned into bad example of vote rigging machinery that has been founded by CCM party that had undergone total political degeneration that is spreading to the southern neighbor.... What a shame! :oops::oops...
  14. GwaB

    JamiiForums Tanzania Team kataa ndoa kama wako sawa hivi

    https://www.facebook.com/share/v/1LcCdUfkSf/
  15. GwaB

    JamiiForums Tanzania Zambia yasitisha uhesabuji wa kura kutokana na vurugu

    Miafrika huwa haiwezi kujiongoza bila kuswagwa kama mifugo. Angalia mtu kama Kabudi hivi majuzi anatuambia Rais wa Kizimkazi ameletwa na Mungu hivyo tumpende na tumheshimu, na huyu ni kiongozi wa nchi mojawapo hapa Afrika tena anajiita msomi kutoka chuo kimoja kikubwa cha jalalani, Bara la...
Back
Top Bottom