Recent content by GwaB

  1. GwaB

    JamiiForums Tanzania Maamuzi ya ndani

    Babu Stephen Wasira AKA Tyson! 😂
  2. GwaB

    JamiiForums Tanzania Maamuzi ya ndani

    Hivi kweli kwa nini CCM haikusajiliwa kama chama sawa na vingine wakati mfumo wa vyama vingi uliporuhusiwa mwaka 1992? 🤔 Kwa nini vyama vilivyojisajili kwenye mfumo wa vyama vingi havikumshinikiza msajili wa vyama aisajili pia CCM kama chama cha siasa na sio ChamaDola? 🤔
  3. GwaB

    JamiiForums Tanzania Hotel na Lodge zinazoweka saa nne muda kuachia vyumba kwa wateja wote ni wizi wakubwa

    Nakumbuka zamani pale Clock Tower kulikuwa na nyumba za wageni zenye hadhi tena usalama guaranteed. Nilichukua chumba mapema tu, usiku nikaenda kujivinjari maeneo enzi hizo kuna Club Bilicanas na Ushirika ndio viwanja vya ukweli, Nilikwenda kulala saa 9 usiku hivi, Saa tatu asubuhi mdada...
  4. GwaB

    JamiiForums Tanzania Hotel na Lodge zinazoweka saa nne muda kuachia vyumba kwa wateja wote ni wizi wakubwa

    Na hao wadada mara zote hawajui wewe umeingia saa ngapi maana kazi yao ni usafi tu wa chumba.
  5. GwaB

    JamiiForums Tanzania Hotel na Lodge zinazoweka saa nne muda kuachia vyumba kwa wateja wote ni wizi wakubwa

    Kinachokodishwa ni chumba chenye kitanda/vitanda kwa masaa 8 ya kupumzika. Hawakodishi chumba kwa masaa 12 wala 24 kwa sababu masaa ya kulala usingizi huwa hayazidi manane na huwezi kulala masaa 12 au 24. Ushauri wangu kwa yeyote anayehisi kudhurumiwa ni kujipangia bajeti inayolingana na...
  6. GwaB

    JamiiForums Tanzania Katambi: Tanzania hakuna Ugaidi, kunaweza kuwa na viashiria

    Mbese!! :confused: Kumbe Samia alivyosema wanaharakati wengi ni magaidi alikuwa anaweka matani?
  7. GwaB

    JamiiForums Tanzania Ulinzi wa Rais Samia ni balaa. Aondoka uwanjani kimyakimya kwa mwendo wa kikomandoo bila kuzungumza neno lolote

    https://www.facebook.com/reel/2514898132293195
  8. GwaB

    JamiiForums Tanzania Kwa lugha nyepesi Geita yote chini ya ardhi ina dhahabu

    Ukifika wilaya ya Kibondo na Kakonko utabaini uoto asilia na mandhari yasiyotofautiana sana na Geita Runzewe na hata Ushirombo, Najiuliza tu kuwa utafiti ukifanyika Kibondo kuhusu lile dongo jekundu tena mnato sana..... Halmashauri ya wilaya Kibondo na watu wa eneo lote hilo, hawawezi kubadili...
  9. GwaB

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi ahimiza Watanzania tupambanie Katiba Mpya. Ni yeye au AI?

    Maana yake ni kuwa kama taifa tunatakiwa kuanza upya kujenga msingi wa nchi hii tukianzia pale alipokosea Mwalimu Julius Nyerere, Hakuitendea haki Tanganyika na ndio msingi wa mfarakano huu ambapo vyama vya siasa na hasa CCM vimejimilikisha mamlaka ya Dola. Ili kufanikisha lengo tarajiwa ambalo...
  10. GwaB

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: Bwana Jela wa Ukonga, Andrew Ntamamiro akifanyiwa dodoso na Tundu Lissu - Siku ya kwanza

    Huyo atakuwa ana asili ya Buhigwe kwa akina Babalevo ambako hadi leo mabango ya Samia na CCM yake yametundikwa kwenye nguzo za stima.... Miezi minane baada ya kilichoitwa uchaguzi.
  11. GwaB

    JamiiForums Tanzania Hizi mbwembwe za wafanyabiashara wa madini Geita ziliwahi kufanywa mererani miaka ya 90!

    Historia hujirudia. Kuna Don mmoja wa madini kule Mererani/Arusha alijulikana kama "Askofu" alitesa sana mwaka 1995. Mwamba alipata matofali ya Tanzanite ya kutosha kununua magari kadhaa aina ya Landrover, alinunua hotel ya ghorofa kadhaa pale Arusha alijulikana kama Pallson Hotel na kwa wiki...
  12. GwaB

    JamiiForums Tanzania Kijana aliyenyimwa Visa ubalozini kwa ''fujo'' alizofanya Guangzhou -China

    Sera na sheria zetu za uhamiaji hazieleweki kivile zaidi ya kukopi na kupaste zile za nchi nyingine hasa za Jumuia ya Madola. Kama ulivyo muungano usioeleweka ndivyo ilivyo uhamiaji, Nchi ni shamba la bibi lisilokuwa na walinzi wa mipaka yake.
  13. GwaB

    JamiiForums Tanzania Kijana aliyenyimwa Visa ubalozini kwa ''fujo'' alizofanya Guangzhou -China

    Kwa kawaida anatakiwa kutumikia kifungo cha kunyimwa visa kwa miaka 10. Baada ya hapo atafikiriwa na kuondolewa zuio.
  14. GwaB

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Kuna wimbi la kuwaaminisha vijana wa Kiafrika kuwa serikali zao hazifati haki za binadamu

    Hivi hao waliokaa kumsikiliza hawapigi hata makofi kwa nondo hizi kutoka Kizimkazi? Watakuwa machawa watovu wa nidhamu hawa.... 😳
  15. GwaB

    JamiiForums Tanzania Ni viwanja gani vya mpira hapa Tanzania mchezaji akipiga mpira unatokezea nje ya jukwaa yaani nje kabisa ya ukuta

    Viwanja vyote vilivyoporwa na CCM kwenye listi ya Maji Maji kuna Lake Tanganyika Stadium ya hovyo.
Back
Top Bottom