wee mbona una akili za sumaku ? yaani mtu akiponda gwanda basi lazima atakuwa gamba? kwa hiyo kama kuna ***** unafanyika ndani ya chadema, watu waendelee tu kuipongeza..ukiuliza nini eti wewe ni chadema? haki ya nani hiyo ni akili ya sumaku.
nyinyi watu humu ndani JF ni wap*mb*vu sijawahi kuona. Mnamsifia Nassari kwa kufanya kazi ambayo ni wajibu wake kama mbunge? Mbona wakifanya ccm kazi zao na watu wakiwatetea nyinyi magwanda mnakuja juu kama mmepigwa vijiti vya masaburi ? Ebu tulieni alaaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.