UTUKUFU KWA MUNGU JUU, Nakushukuru MUNGU kwa maisha ya Padri Raymond SABA kwa sababu yamenijenga kiimani, Nakumbuka alinifundisha kuwa Sala zangu zinisaidie kuingia katika mpango wa MUNGU na Sala sio njia ya kumuingiza MUNGU katika mpango wangu.
Mkoa wa kigoma - Cost
Mbegu: 1000kg*700 = 700,000/=
Kukodi shamba = 200,000/=
Kulima =200,000/=
Palizi ya kwanza =200,000/=
Palizi ya pili = 200,000/=
Palizi ya tatu = 200,000/=
Note: Hili ni kadirio la juu,bei ya mbegu kwa sasa ni kati ya shs:500/= na 700/=, kuanzia mwezi wa nane itakuwa juu...
Bei ni kati ya sh 500 na sh 700 kigoma vijijini, Wateja wengi wanapatikana Mwanza,Shinyanga na Tabora, Wateja wakubwa ni Wanyarwanda, Kwa hiyo unaweza kuwauzia hapahapa nchini au ukapeleka kiwandani Rwanda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.