Recent content by gungu rangers

  1. G

    TANZIA Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa TEC, Padre Raymond Saba afariki dunia

    UTUKUFU KWA MUNGU JUU, Nakushukuru MUNGU kwa maisha ya Padri Raymond SABA kwa sababu yamenijenga kiimani, Nakumbuka alinifundisha kuwa Sala zangu zinisaidie kuingia katika mpango wa MUNGU na Sala sio njia ya kumuingiza MUNGU katika mpango wangu.
  2. G

    Kilimo cha Tangawizi - Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Mkoa wa kigoma - Cost Mbegu: 1000kg*700 = 700,000/= Kukodi shamba = 200,000/= Kulima =200,000/= Palizi ya kwanza =200,000/= Palizi ya pili = 200,000/= Palizi ya tatu = 200,000/= Note: Hili ni kadirio la juu,bei ya mbegu kwa sasa ni kati ya shs:500/= na 700/=, kuanzia mwezi wa nane itakuwa juu...
  3. G

    Soko zuri la Tangawizi

    Mi napatikana, unaweza kuniuliza maswali kupitia jukwaa hilihili kwa faida ya wote, au inbox.
  4. G

    Soko zuri la Tangawizi

    Mimi si dalali, ni mdau wa zao hili.
  5. G

    Soko zuri la Tangawizi

    bei hiyo ni ya kilo, hii ni bei ya vijijini, lakini ukipeleka mikoa ya kanda ya ziwa bei ni kati ya sh 1200 na sh 2000
  6. G

    Soko zuri la Tangawizi

    Soko zuri lipo Mikoa ya kanda ya ziwa na nchi ya Rwanda
  7. G

    Soko zuri la Tangawizi

    Bei ni kati ya sh 500 na sh 700 kigoma vijijini, Wateja wengi wanapatikana Mwanza,Shinyanga na Tabora, Wateja wakubwa ni Wanyarwanda, Kwa hiyo unaweza kuwauzia hapahapa nchini au ukapeleka kiwandani Rwanda.
  8. G

    Kilimo cha Tangawizi - Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Bei ya pumba za Tangawizi sifahamu, Nafahamu bei ya Tangawizi mbichi tu.
  9. G

    Kilimo cha Tangawizi - Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Unatakiwa kuandaa kati ya Kilo 1200 na 1400 kwa sababu heka moja inahitaji kati ya kilo 600 na 700.
  10. G

    Kilimo cha Tangawizi - Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Maeneo ambayo tangwawizi inalimwa kwasana ni Kishanga, Kanazi, Kalela, Muluzenze nk.
  11. G

    Kilimo cha Tangawizi - Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Maeneo ambayo tangwawizi inalimwa kwasana ni Kishanga, Kanazi, Kalela, Muluzenze nk.
Back
Top Bottom