Recent content by Gulwa

  1. G

    StarTV yakatisha matangazo ya BBC Swahili baada ya mtangazaji kusoma kichwa cha habari

    Huo ndio uthibitisho kuwa vitendo hivyo viovu vinaratibiwa na kutekelezwa na Samia na genge lake la kihalifu
  2. G

    Swali chechefu: Sijawahi kumsikia Kadinali Rugambwa akitema cheche hata kiduchu tu. Kwani kuna shida?

    Hawa sio kigezo cha kukubalika, ni misikule iliyosomwa kutoka sehemu mbalimbali ili ije kutumika kisha irejeshwe kwa magari ya kubebea ng'ombe
  3. G

    Mwanamtandao Rostam Aziz kufanya mahojiano maalum leo Septemba 2, 2025 kupitia UTV

    Hiki kipindi kitakuwa kimeandaliwa maalum na wanamtandao. Azam hawana mtangazaji huru mwenye uwezo wa kuuliza maswali magumu. Ameandaliwa chawa ili wafikie lengo lao
  4. G

    Rostam Aziz na Kikwete watoke watoe maelezo ya kueleweka juu ya kifo Cha Magufuli!

    Nitamuamini zaidi Polepole siku atakapo wataja waliohusika na kupigwa kwa Lissu risasi, lazima anawajua wote
  5. G

    GE2025 Mgombea wa CCM hajaongea jipya lolote, ameshindwa kujinadi vyema

    Huyu ni mgombea kwa niaba ya aliyemtuma, yuko nyuma yake
  6. G

    GE2025 Mkutano wa Mpina na waandishi wa Habari umeahirishwa

    ACT ni CCM b, msituchoshe na taarifa zenu
  7. G

    Wanaocheka au kubeza CCM kubeba watu kwa magari kuwafikisha kwenye mikutano yao ujumbe wenu ni huu

    Bodaboda nao wamelipwa ili wasombe na kujazana uwanjani
  8. G

    Hivi kwa hili jua la Dar es Salaam ila watu wanajazana kwenda kukaangwa na sera za uongo za CCM

    Tafiti zilishasema kuwa CCM inapendwa zaidi na wajinga ambao ni wengi zaidi Tanzania
  9. G

    GE2025 If not lip services, Lissu anaachiwa, Chadema inashiriki uchaguzi, TAL Mgombea Urais, tunafanya uchaguzi mkuu huru na wa haki kweli

    Mpaka kwenye nchi yake RA akubali na kuhakikishiwa usalama wa kuendelea kuikamua nchi
  10. G

    Tuhuma za Ufisadi wa kutisha nchini zinazoibuliwa na Mange Kimambi katika vyombo vyetu vya Usalama zinahitaji ufafanuzi

    UVCCM wamesambazwa kwenye majeshi yote, taasisi zote za usalama na mahakamani, ni wa kati wa kulia na kusaga meno
  11. G

    GE2025 Samia Kuongea na wazee pamoja na wakuu wa Mikoa kesho 27 /08/ 2025

    Nyerere alisema kuwa mwanasiasa aliyefilisika hukimbilia kwenye idini, huyo ndiye sa100
  12. G

    GE2025 TLS yaomba kukutana na Rais Samia

    Samia alivyo na uchu wa kupitiliza wa madaraka hawezi kupokea ushauri mwingine zaidi ya ule kutoka kwa chawa wake na JK
  13. G

    Ummy aligoma kumuinamia Malikia!

    Alikataa kusagwa
Back
Top Bottom