Zamani walikuwa wanatumia njia ya posta shipping cost gharama ilikuwa ni cheap sana lakini sasa dhl
Lakini ata hivyo hawa jamaa wao huwa wanauza kwa contena zima bidhaa zao zinatoka kiwandani moj kw moj jaribu
Inahusu nini si ungeweka wazi hapa hapa ili ambaye haimuhusu anakuwa anapita unataka kila mtu mpaka aanze kupakua pakua vitu tena ukute hakuna mchongo wowote unamuhusu
Haiwezekani kabisa kupita pita kwenye nyumba za watu si ataonekana ni mwizi lakini pia ata akipata kazi hayo mapato atakusanyaje mana watu inabidi awafuate
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.