Recent content by Guapo_v

  1. Guapo_v

    Je, ni wakati sahihi kwa watoto wa kiume kupewa Elimu ya Jinsia?

    Kwa kawaida imezoeleka kwenye jamii nyingi za ki Afrika mtoto wa kike ndio mwenyE kupewa elimu jinsi ya kujitunza utasIkia mara ooh mtoto wa kike unatakiwa kua msafi, jichunge na mapenzi kabla ya ndoa. Lakini Watoto wa kiume wamekua wakisahaulika sana katika haya je, ni kweli watoto wa kiume...
  2. Guapo_v

    Hitler's side B

    Napingana sana na ww a real hero
  3. Guapo_v

    Hitler's side B

    na hivo ndivyo kiongoz bora anatakiwa kua Lakin hakuasisi kwa ajil ya ubinafsi alikua anapigania taifa lake
  4. Guapo_v

    Hitler's side B

    Napingana sana na ww
  5. Guapo_v

    Siku ya sensa maduka ruhusa kufunguliwa?

    Maduka yamefunguliwa ila wanaokamatwa kariakoo so fair kabisa alaf hao makarani mpaka sasa hatuwaoni.
  6. Guapo_v

    Hitler's side B

    Katika vitabu vingi vya kihistoria Adolf Hitler amekua akionekana kama kiongozi katili aliewahi kutokea duniani lakini watu hushindwa kuangalia upande mwema wa Adolf Hitler. kwanza aliongeza namba ya ajira kwa wajerumani, pili aliongeza productivity lakini bado watu hawauoni huu uzuri na kubaki...
Back
Top Bottom