Kweli kabisa kwa mfano kujadili jinsi serikali inavyopoteza kila mara pesa kuandikisha watu, mtanzania anavitambulisho vingi kweli, vitambulisho vya urai,kupigia kula ,bima ya afya ,kazi nazani taarifa zingeweza kuungashwa na kuwa na taarifa zinazoishi kwa kutumia mfumo wa kopyuta