Pita barabara ya kutoka Chato kwenda Muleba uone jinsi kila shule ya msingi na sekondari 'zilivyogombania' kuitwa jina lake, tena kipindi hicho akiwa bado mbunge/waziri tu. Ikabidi sasa shule zitofautishwe kwa namba..Magufuli 1, 2, 3, etc.
Unabaki kujiuliza hivi hakukuwa na majina mengine mpaka...