Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,365
- 33,004
Wakuu nina wazo napenda ku-share na nyie....
Kwa sababu Mzee baba anapambana sana kuboresha maisha ya Wana Chato, basi kwa heshima na taadhima na itifaki yote ikizingatiwa napendekeza Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Chato ubadilishwe jina na uitwe John Pombe Magufuli International Airport ili kuenzi mchango mkubwa wa huyu mwanachato katika kuleta maendeleo jimboni Chato kwa ujumla.
Ni matumaini yangu kuwa wenye mamlaka na wazee wa "ndiyo mzee" watachukua hili wazo na kulifanyia kazi.
Kwa sababu Mzee baba anapambana sana kuboresha maisha ya Wana Chato, basi kwa heshima na taadhima na itifaki yote ikizingatiwa napendekeza Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Chato ubadilishwe jina na uitwe John Pombe Magufuli International Airport ili kuenzi mchango mkubwa wa huyu mwanachato katika kuleta maendeleo jimboni Chato kwa ujumla.
Ni matumaini yangu kuwa wenye mamlaka na wazee wa "ndiyo mzee" watachukua hili wazo na kulifanyia kazi.