Uwezo wa ndege kuruka na kutua unategemea sana uzito. Mafuta ni sehemu ya huo uzito. Ili hesabu iwe rahisi wanaamua kujaza mafuta kwa uzito. Mfano ton 25(hizo ni Lita 31,200) kwahio rubani anapiga hesabu zake kwa kuzingatia uzito. Pia anajua ndege yake inachoma ton ngapi za mafuta kwa saa.
mambo kusema tusichunguzane sijawahi kukubaliana nayo hata siku moja, mm nijitunze alafu yy afanye ufuska unajua hii dunia ina magonjwa kibao, kama una jali afya yako lazima utamchunga mke wako au mume wako.
Habari zenu ndugu zangu!
Mimi ni kijana (ME) mwenye umri wa miaka 23, naishi Dar es salaam, Elimu yangu-Shahada ya usimamizi wa rasilimali watu ( Bachelor degree in Human resource management).
Natafuta kazi itakayo nipatia kipato cha halali, kazi ambazo ninaweza kuzifanya ni kama ifuatavyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.