Mimi mwenyewe mwezi uliopita ilinizinguwa sana mpaka nikatumia kikuu..ila mara nyingi ukiona inazinguwa hakikisha kwenye account kuwe na balance ya kutosha mfano kama unanunua kitu cha jumla ya bei 20,000 basi uwe na ata 40000 kama kitakuwa na makato ya katwe ukiwa na hela pungufu inakuwa na...
Sauli ni kama kuku alidonoa maindi ya kuishia mwaka huu!!?? Maaana inafikirisha sana ni kama alijua hawezi toboa mwaka huu ndo maana akauza polo zake kwa katarama na hakutaka kureplace zingine yani kwa ufupi hakuwa serious na biashara yake tena ya mabasi wakati ndo yalikuwa kwenye peak
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.