Recent content by greek girl

  1. G

    Nimemwadhibu dada wa kazi, majirani wanaingilia

    Huyo ni mtumishi wako sio mwanao, unaweza kumkanya kwa maneno na sio kupiga! Basi sasa hivi isiwe tena kupinya majipu iwe watumishi wa Umma wanachapwa! Sidhani kama imekaa sawa! Hujafunga nao ndoa wakikushinda unawarudisha makwao Huko inabidi ukajishushe hasaaaaa maana ni kosa kubwa, ukimpiga...
  2. G

    Mahusiano dini tofauti, kipi ni sahihi cha kufanya?

    Ndo pale mmoja anataka kumwaga maji ya Baraka mwingine anataka kufukizia ubani, mmoja anataka kusoma dua mwengine anataka kufanya misa ya shukrani, mmoja anasema Yesu ni Mungu mwengine anasema Yesu ni nabii! na vyote hivyo vinafanyika ndani ya Nyumba moja ya wanandoa! Sio kitu cha kukiignore
  3. G

    Mahusiano dini tofauti, kipi ni sahihi cha kufanya?

    Swala la imani bora mmoja abadili! wakristo wanasema msifungwe nira pamoja na wasioamini na waislam wanasema wasioamini uislam ni makafiri sasa hapo mnapoungana inakuwaje? Maana mume na mke ni mwili mmoja hapapaswi kua na utofauti! Kuna ndugu mmoja baba yake alikua mkristo mama mslam...
  4. G

    Nina mimba ya rafiki wa mume wangu, nifanyeje?

    Mwambie hubby ukweli, omba msamaha inaweza ikafwata talaka. Usitoe mimba
  5. G

    Dada yangu atapata haki Kisheria baada ya talaka?

    Mali lazma zigawanywe ila sio lazma nusu kwa nusu inategemea na aina ya ndoa, hahaa naona umebase kwenye mali zaidi, kama ndugu yako anaweza kuendelea kuvumilia avumilie watengane vyumba, ila kama baba ataendelea kudai talaka hamna namna! Duh! wanawake tumeumbiwa uvumilivu
  6. G

    Dada yangu atapata haki Kisheria baada ya talaka?

    Kama mmesoma vizuri mume ndo anataka kutoa talaka na mke amekua mvumilivu sana. Talaka haitolewi mahakamani mpaka wapitie mabaraza ya usuluhishi na washindwe kusolve Watoto chini ya miaka 7 wanatakiwa kuishi na mama labda ithibitishwe hataweza kuwalea Watoto wenye miaka 7 kwenda juu watachagua...
  7. G

    Dada zetu mnatuabisha jamani na tabia zenu mbaya

    Asante kwa ushauri, na wanaume pia warekebishe yao...
  8. G

    Hivi kwanini kila ninachokifanya mke wangu haridhiki?

    Pole, ila naendelea kuamini ndoa sio harusi, kama ni ndoa ya kikristo kua makini, ni mke mmoja mume mmoja hadi kifo!
  9. G

    Anamkuwadia wifi yake kwa wanaume wengine

    Mh! Dunia ina mambo mengi!!
  10. G

    Mrejesho: Maneno ya kejeli ya mume wangu

    Hihii mgiriki, tunafahamiana
  11. G

    Mrejesho: Maneno ya kejeli ya mume wangu

    Pole sana hivi dunia ya leo mwanamke wa nje ni wa kuchanganya mpaka umtende mke yote hayo Kwasababu umeshapita baraza kesi iko wazi talaka itatolewa na kama Nyumba mliipata mkiwa kwenye ndoa itagawanywa kwa wote ikijumuishwa na mali nyingine mlizochuma mkiwa ndani ya ndoa, kama mna watoto basi...
  12. G

    Nimebeba mzigo wa familia nahisi kuchanganyikiwa

    Hivi unapoamua kumsaidia mtu hata kama sio familia ni ili akushukuru au ili ulete mabadiliko fulani kwenye maisha ya muhusika, Kwa upande wangu appreciation kubwa nnyoipata ni pale nnapoona mabadiliko chanya yametokea kwenye maisha ya niliyemsaidia, mf. Mdogo wako anaenda kusomea u Dr. angeanza...
  13. G

    Jukumu la baba kama mzazi ni nini?

    Ni kuendelea kumbana tu mwisho wa mwisho mtoto atakuja kumuhitaji baba ilimradi hajamkana mwanae, huenda wakati mwingine anabanwa huwezi jua maana ana familia mbili na changamoto anazopitia hakushirikishi anabanwa na majukumu anashindwa na kwakua fimbo ya mbali haiui nyoka basi changamoto...
Back
Top Bottom