Dr slaa ameongea ukweli mtupu na kweli tu ndio humweka MTU huru, yeye hataki kuuma maneno hata kama amefadhiliwa na nani kuuongea huo ukweli,it doesnt matter but what is matter its a content of his speech, either was being true or not,...in fact he spoke the truth
Naona watanzania tunaendeshwa kwa nguvu za pesa,mnakubali kununuliwa kama pipi eti lowassa alikuwa mbaya akiwa ccm now is GODFATHER..jipangeni usikubali kura yako inunuliwe na wanaonufaika na pesa za babu mamvi kama mzee hasie kuwa na haya KINGUNGE na wapuuzi wengine kama kweli unaipenda hii...
Dah... Nchi isiokuwa na mipango thabiti...ni shida ,hapa (udom) humanity Leo kuna kikao cha kawaida cha bunge la wanafunzi na tumeombwa wanafunzi kuhudhuria....too bad wameleta askari wanala landa kututishia amani badala ya kwenda kumweka Seth Singh chin ya ulinz ***shame on you mafisadi papa
Kujiuzuru????...no it's not enough... He and his colleagues... Have to pay for it....wapelekwe mbele ya mikono ya sheria...wanafunzi wa vyuo vikuu...wengi wameshndwa kuingia vyuo kisa mikopo.
Prof:Muhongo....we are tired of your undefined and rubbish....things you use to say...Can you just leave the office for good????..hatutaki kunyanyaswa kwenye ardhi na watu wachache wanao jiona miungu watu...wasomi typo wengi..
Go to hell mdingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.