Recent content by Great M

  1. G

    JamiiForums Tanzania Barabara ya Bumbuli jimboni kwa January Makamba

    Tunajua kilicho kichwani mwako mkuu..ila wakati mwingine usijistahi.."tunakuheshimu uje" usifanye tukakukosea abdabu bure!!
  2. G

    JamiiForums Tanzania Barabara ya Bumbuli jimboni kwa January Makamba

    Budget zipo je? Wakatai wanashinda angani na kulala angani? Wanapiga deal za maana wewe unaulizia habari za Budget ndani la SERIKALI CORRUPT YA MACCM???????!
  3. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Mwanamke Mpweke.PART II -Shukrani kwa wana-jukwaa japo Sijafanikiwa

    Sorry.. Mpendwa labda hali ya kufanya au kutofanya mapenzi kwa muda mrefu..Alina uhusiano wa moja kwa moja na ucha MUNGU..Ni namna mtu anavyoendesha maisha yake.. (I'm not here to prove anything against my faith to LORD our GOD)..Nadhani ili nimeliweka sawa..Mimi ni mkosefu kama walivyo...
  4. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Mwanamke Mpweke.PART II -Shukrani kwa wana-jukwaa japo Sijafanikiwa

    Hutaki una acha mummy! wala sijaja hapa kutafuta hicho unachodhania..Anyway..! Everybody has his own way of expressing his views" Wanisamehe ninao wakwaza katika uzi huu..Maana mimi ni binadamu hati..!..Si malaika..Hivyo mapungufu ninayo tena makubwa!! but....when I say something I mean it...
  5. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Mwanamke Mpweke.PART II -Shukrani kwa wana-jukwaa japo Sijafanikiwa

    Asiye kuwa mzima ni yule mwanaume asiyeweza kusema na roho yake , bali kuwa mtumwa wa tamaa na miemuko ya mwili wake...! Hakika na kwambia kwa mwanaume anayejali na anayejitambua sawa sawa ana hiari ya kukaa wakati anaotaka bila kufanya mapenzi....Hapa suala si kutojiskia hamu ya kuafanya...
  6. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Mwanamke Mpweke.PART II -Shukrani kwa wana-jukwaa japo Sijafanikiwa

    Kumuua adui si kosa hata kidogo bosi wangu..! Mtu asiye na hatia ndio kosa kuuliwa..(Hata hivyo hapa nimefafanua..kuwa huyu anataka kuniiua..Je? wewe utamwacha mvamizi wako akuue au utajitetea?).Hii inakuwa kama vita....ua au mwache adui akuue..lol!
  7. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Mwanamke Mpweke.PART II -Shukrani kwa wana-jukwaa japo Sijafanikiwa

    aaaaaaaaah!!!!..Sasa unataka nimuache aniue?? Huyo atakuwa adui na adui ukimwacha anakuua..lol!!
  8. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Mwanamke Mpweke.PART II -Shukrani kwa wana-jukwaa japo Sijafanikiwa

    Karibu mpendwa!
  9. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Mwanamke Mpweke.PART II -Shukrani kwa wana-jukwaa japo Sijafanikiwa

    Wapendwa, Nitakuwa mtovu wa fadhila nisipotumia wasaa huu kuwashukuru wanajukwaa waliochangia kwa ushauri na mawazo mbadala juu ya bandiko langu la awali "Natafuta mwanamke Mpweke" Hakika sikutarajia kama JF kuna watu waungwana kiasi kile(maana huwa naona comments za kubeza na kusimanga)...
  10. G

    JamiiForums Tanzania Askofu Ngalalekumtwa awataka Watanzania kuikataa Katiba Mpya

    We SaidSabke.....!!Jamani dini na Imani zisizo zenu msi ziingilie kwani hamjui msingi wake( Kwa kanisa Katoliki Bwana yesu alikasimu Uwakilishi wake kwa maaskofu na mapadre-..Muumini anapo ungama dhambi zake aziungami kwa Padri wala Askofu ..Bali Kwa Mwenyezi Mungu.. Na Padre au Askofu huwa...
  11. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke mpweke

    You have sound of Wisdom...! Thanks alot!! Thank you again and again for your great comment ever!!
  12. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke mpweke

    Nina hofu ya MUNGU tu.. Na ni Mkristo wa madhehebu ya Katoliki....Kutofanya hayo yoyote ni misimamo tu na hulka ya mtu( Mfano Kunywa na kuvuta sikuwahi kufanya hivyo tangu nikiwa mdogo..Kuhusu mambo ya "utamu" ni malezi( Nawashukuru wazazi wangu wapendwa sana.. Hakika walinilea vyema....Na mtu...
  13. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke mpweke

    Ahsante mpendwa kwa mawaidha yako mazuri..Lakini ungepitia comments zote ungenishauri tofauti na unvyonishauri sasa.. huyu bibie ameshindikana na mimi sipo radhi kuumiza moyo wangu kwa miaka mingine mingi kama Mungu atanijalia uhai...(Nachelea kuja kumpasua nikatenda dhambi nisiyo jiandaa...
  14. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke mpweke

    mmmmmmmmmmmh!!
  15. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke mpweke

    Hakuna binadam chini ya jua aliye mkamilifu hata kidogo..Yawezekana nilimkwaza mwenzi wangu kwa namna moja au nyingine.. Lakini Nakiri itakuwa bila makusudio ya kumuumiza..Labda kwa bahati mabaya.. na nilikuwa mwepesi wa kuomba msamaha....Nasema yawezekana nilimkosea bila kukusidia( Kwasababu...
Back
Top Bottom