Recent content by Grau

  1. Grau

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kichwa mviringo katika ubora wake, nimesha acha hata kwenda vibanda umiza 🤣🤣🤣
  2. Grau

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hivi katika kutafuta beki Scout wa Liverpool hawamuoni Calvin Bassey wa Fulham?
  3. Grau

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kama FSG wamekalili maisha kumpa kocha mda safari hii kinawaramba 🤣🤣
  4. Grau

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Alonso alitukataa nasisi hatumtaki.
  5. Grau

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    🤣🤣🤣🤣🤣
  6. Grau

    Mke wangu anategemea house girl afanye majukumu yote kisa tu tunamlipa ki 50,000

    Habari wakuu? Mimi nimeoa, baada ya mda nikafungua kiofisi ambacho ilituradhimu tutafute house girl, baada ya mda tulimpata mwenye umri around 16 yrs dah! Huyu house girl anaamka saa 12 asubuhi anapiga kazi kufikia saa sita mchana kaivisha na chakula cha mchana. Kiukweli mimi house girl...
  7. Grau

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kichwa mviringo hamna kocha mle anatembelea bahati ya wachezaji tu 😝
  8. Grau

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kumbuka Curtis Jones ni Winger leo 🤣🤣🤣
  9. Grau

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Yule ni mholanzi kwahyo kichwa mviringo anambeba.
  10. Grau

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Niliongea mapema kuhusu kichwa mviringo 🤣🤣
  11. Grau

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mwamba umesha changanyikiwa tayari kipa wako usimjue? 🤣🤣
  12. Grau

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Ww na kichwa mviringo damdam 🤣🤣🤣
  13. Grau

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Nyuma kumeoza na bado unataka kumpa mkataba Konate 🤣🤣🤣🤣
  14. Grau

    Weka hapa Tiba asilia ulizowahi kutumia na zikakusaidia, mimi zangu hizi hapa

    Dawa ipo namimi nimepona, jino halinisumbui tangu 2018 tangu nilivyo pewa dawa na mzee mmoja.
  15. Grau

    Weka hapa Tiba asilia ulizowahi kutumia na zikakusaidia, mimi zangu hizi hapa

    Uchungu wake nikama umechomwa penadu 🤣
Back
Top Bottom