Recent content by Grau

  1. Grau

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    🤣🤣🤣🤣🤣
  2. Grau

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Eti wewe kichwa 🤣🤣🤣
  3. Grau

    JamiiForums Tanzania Kufariki kwa huyu Mtumishi Mwenzangu ambaye nilifanya naye kazi huku tukiwa na Ugomvi mpaka alinifanya kuhama

    Ni kweli kabisa kaka hiyo haipingiki, ila madaktari wao wanapendana kipengele kwa Nurses tunakuwaga machawa na matatizo yetu nikushtaki kwa madaktari. Pia Cos na Nurses hamnaga maelewano mazuri kabisaa.
  4. Grau

    JamiiForums Tanzania Kufariki kwa huyu Mtumishi Mwenzangu ambaye nilifanya naye kazi huku tukiwa na Ugomvi mpaka alinifanya kuhama

    Mi mwenyewe mambo yakiwa magum nitakula kona soon aisee ni mateso
  5. Grau

    JamiiForums Tanzania Kufariki kwa huyu Mtumishi Mwenzangu ambaye nilifanya naye kazi huku tukiwa na Ugomvi mpaka alinifanya kuhama

    Sawa mkuu napenda chokochoko sana tu namm ndio sababu yes, alaf natamani naww ungekuwa hapo napo fanyia kazi nikuendee kwa mganga.
  6. Grau

    JamiiForums Tanzania Kufariki kwa huyu Mtumishi Mwenzangu ambaye nilifanya naye kazi huku tukiwa na Ugomvi mpaka alinifanya kuhama

    Hapana huyo dada hakuwa na moyo huo wa kunifanyia mabaya sema alikuwa anashauriwa, shida yake ni moja tu alikuwa akishauriwa nayeye anafata, hvyo sikuwa na kinyongo nae. Siwez furahia kifo cha binadam mwenzangu.
  7. Grau

    JamiiForums Tanzania Kufariki kwa huyu Mtumishi Mwenzangu ambaye nilifanya naye kazi huku tukiwa na Ugomvi mpaka alinifanya kuhama

    Yeah! Niliwahi ambiwa namroga aisee, na ndio maana niliona mambo yasiwe mengi nikuhama tu.
  8. Grau

    JamiiForums Tanzania Kufariki kwa huyu Mtumishi Mwenzangu ambaye nilifanya naye kazi huku tukiwa na Ugomvi mpaka alinifanya kuhama

    Yeah! Nikweli mkuu kila mtu na mawazo yake, japo hakuna mtu anae zaliwa mkamilifu licha kwenye uzi wangu nimeyataja mapungufu yake huenda namm nilikuwa na matatizo yangu hivyo nikusamehana tu 😭😭😭
  9. Grau

    JamiiForums Tanzania Kufariki kwa huyu Mtumishi Mwenzangu ambaye nilifanya naye kazi huku tukiwa na Ugomvi mpaka alinifanya kuhama

    Mtu huwa akinitendea ubaya namwachia Mungu, siwezi hukumu mtu mkuu.
  10. Grau

    JamiiForums Tanzania Kufariki kwa huyu Mtumishi Mwenzangu ambaye nilifanya naye kazi huku tukiwa na Ugomvi mpaka alinifanya kuhama

    Usilipishe ubaya kwa ubaya, sio vizuri maisha ni haya haya tu.
  11. Grau

    JamiiForums Tanzania Kufariki kwa huyu Mtumishi Mwenzangu ambaye nilifanya naye kazi huku tukiwa na Ugomvi mpaka alinifanya kuhama

    Sawa mkuu nimefurahia ili nawe uridhike coz kila mtu na maoni yake.
  12. Grau

    JamiiForums Tanzania Kufariki kwa huyu Mtumishi Mwenzangu ambaye nilifanya naye kazi huku tukiwa na Ugomvi mpaka alinifanya kuhama

    Hakuna anae furahia kifo mkuu, haijalishi mliishije ila mtu akifa lazima uumie tu labda kama una roho mbaya. Mtu akifa harudi hvyo binafsi natetemeka maana sikutegemea kama atafariki 😭😭😭. Isitoshe mimi nayeye ugonvi uliisha tulisamehana maana wanaume hatunaga ya kuweka vitu moyoni.
Back
Top Bottom