Nimesoma majibu ya Zitto kwa Lema, lakini niseme tu kwamba Zitto Kabwe anafanya kosa kubwa kwa kuendesha siasa zake ndani ya CHADEMA akidhani kuwa yuko Ulaya na Marekani ambako ukomavu wa siasa katika vyama na uelewa wa wanachama na wananchi kwa ujumla ni wa kiwango cha juu sana. Amekosa...
Raisi Jakaya Kikwete ameamua kuwa jaisiri na kutaka kila mtu abebe mzigo wake ndani ya Chama Cha Mapinduzi hasa vingozi kwa kukataa kukikumbatia rushwa.
Aliwaweka wazi viongozi wenzake kuwa CCM lazima ife ikiwa watain'gang'ania rushwa. Nijuavyo mimi viongozi wa CCM hawawezi kuiacha rushwa hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.