Recent content by grandMullah23m

  1. grandMullah23m

    JamiiForums Tanzania Pikipiki gani inanifaa kwa matanuzi ya hapa na pale katika maisha?

    Mimi binafsi Nina boxer yangu...huu ni mwaka wa tatu Sasa..sio mbaya kwa kweli..ukiitunza utasahau kabisa shida za usafiri...68km/L😂😂 alafu mtu aniambie habari ya aiestii😌
  2. grandMullah23m

    JamiiForums Tanzania Ni utapeli au napoteza bahati?

    Ndugu yangu unapigwa na kitu kizito...hii stori niliiskia hivihivi kutoka kwa mtu anajielezea pale airport dar mwezi wa 11 mwaka jana...ametapeliwa laki 4🙌
  3. grandMullah23m

    JamiiForums Tanzania Mpango wa kukimbia kodi 2025

    Asante kwa kunitoa tongo machoni ndugu yangu nilikuwa sijuiii
  4. grandMullah23m

    JamiiForums Tanzania Mpango wa kukimbia kodi 2025

    Salaam wanajukwaa...katika pitapita zangu na maongezi na fundi namna ya kuanzisha ujenzi wa msingi,ameniorodhesha mkeka mrefu🥲..ambapo Kuna kipengele cha wall puty/chokaa kg 20..ambayo bei ni 20000@..naomba kujua matumizi yake kwenye hatua za awali za ujenzi wa msingi...
  5. grandMullah23m

    JamiiForums Tanzania Mafua yasiyoisha kwa watoto wachanga

    Jaribu kutumia dawa inaitwa saline...utakuwa unamwekea mara kwa mara...pia angalia mazingira anapolala yawezekana vumbi...feni...pafyum...au hewa chafu inqchangia pia
  6. grandMullah23m

    JamiiForums Tanzania Contemporary Vyumba 3 Ndogo ya TOFALI na BATI Chache Sana & kiwanja Kidogo - Kuanzia Maisha na Kupangisha

    Kwamba kwa gharama hizo ni pamoja na plumbing, aluminium na wiring au ni boma kama boma tu?
  7. grandMullah23m

    JamiiForums Tanzania Dondoo za hatifungani za leo - 20yrs Bond 15.49%

    Hongera sana ndugu yangu
  8. grandMullah23m

    JamiiForums Tanzania Dondoo za hatifungani za leo - 20yrs Bond 15.49%

    Asante Kwa ufafanuzi...Mimi nilidhani kuwa labda tuseme Kwa mfano huu wa 20m ulioyotoa...nikienda benk kuchukua mkopo kupitia hii Bond kama collateral...pale %ya kiasi ninachoweza kukopa watapigia Kwa hiyo 20m+faida(total coupons),ambapo huo mkopo utakuwa unaji -offset wenyewe kutokana na hayo...
  9. grandMullah23m

    JamiiForums Tanzania Natafuta Wakala (Agent) wanao safirisha mizigo kwa ATCL kutoka nje ya nchi kuja Tanzania

    Mkuu ukiweza kufika pale airport terminal 2,ulizia ofisini kwao Moja Kwa Moja utapata data nzuri Kwa uhakika
  10. grandMullah23m

    JamiiForums Tanzania Dondoo za hatifungani za leo - 20yrs Bond 15.49%

    Naomba kuuliza,let's say nimewekeza hiyo 100m,je endapo nitaitumia bond hiii kama collateral kwenye benki,watanikopesha asilimia ngapi kwenye huo uwekezaji wangu,na je,hesabu inapigwa kwenye hiyo face value ya bond au ni kwenye kiasi nilichowekeza pamoja na faida jumla nitakazozipata kutokana na...
  11. grandMullah23m

    JamiiForums Tanzania Mrejesho baada ya kung'oa jino. Shikamoo Jino

    Yaleyale mambo ya kumwambia mtu wa jikoni...'ikauke kabisa'
  12. grandMullah23m

    JamiiForums Tanzania Ukiona umefikia stage hii umekwisha

    Aise Sasa nitaishijeee Kwa kupanga huku..
  13. grandMullah23m

    JamiiForums Tanzania Gari ipi ya Toyota unaipenda sana?

    Mimi mniseme tu ila binafsi.Kwa kuanzia maisha naenda na IST Toyota kibakuli...nijipakulie zangu wali Nile polepole na wese la elfu kumi
Back
Top Bottom