Correction
Speed ya mwanga kwenye vaccum ni approximately 3×10^8 na sio 3×10^5.
KIngine voyager 1 inatumia radio frequency kutuma ujumbe wake kuja kwenye receiver za duniani . Radio frequency ipo katika range za electromagnet same as mwanga .
Hivyo speed yake kwenye vaccum of space pia no...
Female scientists and inventors-:
1. Émilie du Châtelet (1706–1749)
French mathematician, physicist, and translator.
Translated Newton’s Principia Mathematica into French.
2. Caroline Herschel (1750–1848)
German-British astronomer.
Discovered several comets and worked with her brother...
1. Aspasia of Miletus (c. 470–400 BCE)
Ancient Greece.
Companion of Pericles, influential in Athenian politics and philosophy.
2. Hypatia of Alexandria (c. 360–415 CE)
Mathematician, astronomer, philosopher.
Known for Neoplatonism teachings; murdered by a mob.
3. Hildegard of Bingen...
Hakuna athari ikifanywa na daktari wa meno anayejua anachokifanya , nikushauri ikatokea unataka kung'oa chunguza kwanza mwenye sifa nzuri .meno ya juu ni hatari kutokana na ukaribu wake na viungo muhimu eneo la uso sasa ikatokea sindano imechomwa vibaya au anayengoa hajui technique nzuri basi...
We ita maneno yooote njoo na syllabus nzima ya hii topic ila jibu langu lipo pale pale ni kwamba KITU HAIFITI hivyo kuachia nafasi ya hewa kupita nothing else , chuma ikijaa kila sehemu hautokaa usikie haya mambo.
ALimtukana Mungu lakini hakugusia dini yoyote ,kuna miungu mingi maybe uwe specific alimtukana Mungu yupi? na ndiyo maana viongozi wa dini tofauti tofauti walitoa kauli zao kwa ujumla maana hakuelekeza Tusi hilo kwenye dini fulani .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.