Mimi ni kijana wa miaka 17 nikiwa na Elimu ya chuo kikuu shahada ya uhandisi wa mitandao na mitambo! Naomba kutumika Kama msaidizi Kwa kutumwa kazi mbalimbali maana najua watu wengi wako bize na Mambo ya kiofisi hata kushindwa kupata muda wa kufanya au kusimamia vitu vingne. Nipo tayari kutumwa...
Nahitaji gari ndogo Aina ya IST, raumu, spacio ,Ractis ,funcargo na gari nyingne isiyozidi cc 1290 Kwa maelewano ya kuleta hesabu ya 150000/week bila kuchelewa. Nipo Dar es salaam wilaya ya Ubungo kata ya msigani mtaa wa kwa Yusuph.
Nna akaunti ya bolt na Uber zilizo active hivyo huna haja...
Asante mkuu naimani watu hao wapo sabu sio wote wenye pesa wanaamini kila biashra kwahyo muhimu kuchanganua vzuri MTU akaelewa akathubutu kuweka pesa yake
Kuna alienda Malinyi atupe update? Na wale walioko Dar ambao wangependa twende tukaangalie fursa zilizopo na kujifunza kuhusu Mishe zoote za huko mgodini! Mm n mpenzi wa kujifunza kwa vitendo hvyo kupoteza hela za nauli kwenda kujifunza sio shida afu weng humu wanaume tunalala popote mbona...
Asante umenena vyema sana mkuu ila maana yangu kuwa sio MTU aniamini na kunipa million zote hizo wakat hanifahamu ila nnachotaka awe mshiriki pia katika wazo langu huku nikiwa mtendaji...
Hvyo sidhani kama unaweza weka pesa sehemu sasaivi bila kuwepo sehemu husika au MTU wa karibu unaemuamin...
Mimi ni Kijana wa miaka 26 nikiwa na shahada ya uhandisi wa mitandao na mawasiliano...baada ya kuhangaika sana bila majibu nimeambulia kufahamu fursa nyingi ambazo nimetumia na akili yangu kidogo kuweza kupata mawazo kadhaa ya kibiashara ambazo zenye kuleta matunda chanya kwa muda mfupi sana...
Shida ni kwamba bado Kama Wasomi au wanavyuo wengi tunasoma huku hatujui mtaa unahitaj nn? Kuna ombwe kubwa Sana Kati ya tunachosomea na kinachohitajika kwenye maisha halisiaa.... Niwaombe wale waliopo vyuoni sasaivi jaribuni kuwekeza Nguvu nying kwenye kutaka ujuzi zaidi na mpate muda kujua...
Unajua shida yetu tulioweng ni wepesi kushauri kulingana na mazoea au kilichopo mdomoni Sana huku uhalisia tukiujua! Fatilia hata motivational speakers wanavitu vya msingi wanazungumza Ila wanasahau kitu inaitwa mtaa na maisha ya mtaa ni SoMo lisilohitaji tuition lazma utumie akili ya ziada na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.