Sipendi wasomi wa jinsi hii. Wanajiita wanazuoni,sijui kama kweli wanaelewa uanazuoni ni nini! Lakini kwa nchi kama Tanzania ilipofikia tunaweza tusiwaamini wasomi wanapotoa matamko kama haya kwasababu wanaweza kutumika kisiasa. Tabaka tawala linaweza kutumia usomi wao kwa maslahi yao binafsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.