Ushauri mzuri Sana huu Hatanmimi niliona Anaumia Sana Mana alimtolea Siri kwa ndugu wa mumewe Mambo yakazini na Yule ndugu akaanza kusimulia ndugu wa mume mpaka yakamfikia mumewe vikao vikaanza.Na kitu kilichomuuma zaidi Ni Ile Hali ya kusimulia yaliyomkutaga kwa mumewe hapo zamani Hali...
Anavyosema ni kwamba Yule ndugu yake alipofika na kumuulizia Boss kwanza wote wawili hawakuwepo Secretary akamshauri asubiri na baada ya muda akatokea Yule Boss mdogo. Alipomfuata na kumuelezea shida yake ndo akaanza Yule Ni Nani wako? Akasema ni mama yangu mdogo kwa maana mume wake namuita Baba...
Habari wadau najua humu mtu hawezi kosa ushauri mzuri.
Nina rafiki yangu mmoja hayupo humu Ila alipata changamoto kidogo kazini.
Yupo serikalini Ila mmoja wa Boss wake alimfanyia Defamation kwa familia yake akiwa mgonjwa.
Kwamba aliumwa Sasa akawa amemuomba mmoja wa member wa family yake...
Jamani kwa hiyo best hivyo visa mpaka.vya uchawi kuweka chunvi kwenye uji na kadhalika MTU asipokaauda mrefu na H/G achunguzwe Roho yake??japo ni kweli kuna maboss wana roho nzito ila sio kila Bosi asipokaa muda na mdada basi achunguzwe.Je Wewe hujawai pata vimbwanga vyao hata kidogo?
Mabeki 3 ni balaa si mchezo!
Nilimpataga mmoja huyo Never forget.
Nikiwepo kapoleeee kataratibuu
Dooo ngoja niondoke kwenda kazini.
Ataongea na simu na Viboyfriend vyake mpaka basi.
Nikashangaa tu mtoto anasema Baby I love you.Baby I love you mwaaaaa!
Kukauliza katoto vizuri kayapata wapi hayo...
O level kiswahili nilipata B.Lakini ukiniambia niandike neno likizo naandikaga Rikizo.Na ndio huona inafaa.Mpaka siku noja MTU mmoja aliponisema why napenda kuandika Rikizo wakati sahihi ni Likizo?sasa kwa kawaida Rikizo ndo inapendezaaaa(haaa haaa)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.