Mbona Majina ya waliochaguliwa Scholarship ya kwenda kusoma China Masters na PHD kwa wanafunzi 22 mpaka sasa hayatangazwi na wizara husika Nishati na Madini? Kuna nini jamani?
Mwenye taarifa atujuze maana wengi walikua shortlist ila mpaka sasa kimya na mwezi wa 9 mwanzoni vyuo ndo hufunguliwa.
inawezekana maana hii nchi aise hapana......waziri,naibu waziri,katibu mkuu,naibu katibu mkuu yani wote ni wateule wa raisi sasa unategemea wizarani fedha zisiwe located kwenye kampeni kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.