Nikiwa form one jamaa wa form two kaja kunichokoza kinjuka njuka. Na jamaa kubwa siwezi kupigana nalo. Jamaa alijichanganya siku moja nilikamata kisu from no where, aisee nilimkosa kisu cha shingo mpaka jamaa alikuja kuniomba msamaha nikamwambia nilikuwa nakata koromeo bahati yako. Toka siku...
Absolutely true, we pokea simu muda wotewote mana uwezi kujua simu ipi ni ya dharura na simu ipi ni ya salamu! Na hakuna mtu anayekupigia usiku halafu akuambie namalizia dakika zangu huyo atakuwa amekuzoea sana! Binafsi nilishapokea simu usiku sana kumbe kuna mzazi yupo hatua za mwisho ilibidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.