Recent content by GPP1922

  1. G

    Nmeishiwa nguvu baada ya mke wangu kunijulisha hili

    Ni hatari, ila mpeleke hospital mana bado mapema inawezekana tatizo likapatiwa ufumbuzi!!
  2. G

    Heri ya mwaka mpya 2024 ndugu zangu wana Jf

    Mwaka Mpya ukawe na mafanikio kwa wote!!!
  3. G

    Uzi maalumu wa kuelezea mafanikio uliyoyapata 2023 na mipango ya 2024

    Nakutakia mafanikio mema kwa mwaka 2024 na mipango yako itimia kama ulivyopanga uku ukimuomba sana Mwenyezi Mungu!!?
  4. G

    Umewahi kupigwa hadharani? Mimi yalinikuta!

    Nikiwa form one jamaa wa form two kaja kunichokoza kinjuka njuka. Na jamaa kubwa siwezi kupigana nalo. Jamaa alijichanganya siku moja nilikamata kisu from no where, aisee nilimkosa kisu cha shingo mpaka jamaa alikuja kuniomba msamaha nikamwambia nilikuwa nakata koromeo bahati yako. Toka siku...
  5. G

    TBT ya kibabe: Mabasi na vyombo vya usafiri Tanzania

    Iliyotimbukia mtoni ni Air Shengena/ No Challenge
  6. G

    Nataka nimchome kwa ndugu zake

    Kama umeshagundua mapema achanae mana ni uchumba tu, bado hujafunga ndoa!!
  7. G

    Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Mkuu stabilizer link ya spacio inapatikana kwa bei gani?
  8. G

    Serikali: Sasa ni ruksa kusafirisha wanyama nje ya nchi

    Kunakoelekea hata dona kutoka Colombia itakuwa ruksa kuingia nchini!!
  9. G

    Kwenye maisha usiruhusu kila mtu akuzoee ni KOSA kubwa mno pia weka muda maalum wa watu kukupigia simu

    Absolutely true, we pokea simu muda wotewote mana uwezi kujua simu ipi ni ya dharura na simu ipi ni ya salamu! Na hakuna mtu anayekupigia usiku halafu akuambie namalizia dakika zangu huyo atakuwa amekuzoea sana! Binafsi nilishapokea simu usiku sana kumbe kuna mzazi yupo hatua za mwisho ilibidi...
  10. G

    Vitu 4 ambavyo vimekuwa overrated Duniani

    Kwenye firigisi uniambii kitu mzee bora nisile paja ila sio firigisi
  11. G

    Nimechoka, naenda kununua gari

    Acha kumtisha watu wanamiliki gari kipato chini ya laki tano. Reference mi mwenyewe!!!!! Na sijawahi kujuta hata siku moja! Kiongozi vuta ndinga
Back
Top Bottom