Recent content by Gozaka

  1. Gozaka

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Japo Kuna wahuni walintapeli 700000/= , kwenye harakati za kutafuta nafasi. Hajapokeaga simu yangu adi Leo
  2. Gozaka

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Mimi mbanga yangu wakati napata nafasi haikuitaji hela yoyote .... Lakin Toka ntoke kozi nimemweka kwenye payroll yangu kila mwezi anakunja 100k .
  3. Gozaka

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kwa jeshi hamna ongezeko , sijui uko kwingne
  4. Gozaka

    Natafuta pikipiki ya umeme (Electric scooter) used

    kuna mpya imetumika 1 week , battery sita, ikijaa chaji inaenda 60km - 70km . Mwenyew alivyoinunua akasafir afu harud karibuni , kaipaki ndan . aliinunua 1.65m risiti ipo , anauza 1.5m 0762565051 , mpya kabisa unakuja kumenya baadhi ya maganda imenunuliwa 4/01/2024
  5. Gozaka

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Kozi mwez wa ngap
Back
Top Bottom