Panasonic tough book ,Mashine ya kazi mjapan original ,
Ram -4gb
Rom- -500gb
CPU -2.5ghz
Battery [emoji367]- 7+ hours
Nina shida ya hela
Bei : 250000
Contact: 0710660264
habari hivi nkitaka kubadilishiwa meter nafanyaje .... mi nlifungiwa meter ambayo haizimi ata umeme ukiisha inaandika negative tu .... ko kuna saa deni linakua kubwa napata shida kulipa .... kama nlipangishia watu nyumba nkakuta hawakulipa kabsa umeme deni limelimbikizwa unit za negative zenye...
Ukikosa kabisa , ingia Upwork jisajili then toa kazi eka na bei yako ... Kwa quality assurance testers .. utapat wengi ma expert worldwide ... Sana WA bei rahis kukutestia utapata WAhindi
Kwan nan anamlipa Millard Ayo kwenye app yake .? Hivyo n vitu vipo watu wanapata pesa ... Issue ni kupata hzo AdSense ambazo ndo zinafanya ulipwe na Google
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.