Recent content by Gozaka

  1. Gozaka

    Natafuta pikipiki ya umeme (Electric scooter) used

    kuna mpya imetumika 1 week , battery sita, ikijaa chaji inaenda 60km - 70km . Mwenyew alivyoinunua akasafir afu harud karibuni , kaipaki ndan . aliinunua 1.65m risiti ipo , anauza 1.5m 0762565051 , mpya kabisa unakuja kumenya baadhi ya maganda imenunuliwa 4/01/2024
  2. Gozaka

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Kozi mwez wa ngap
  3. Gozaka

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Hv ngaz za malipo za hao si Sawa na majeshi mengine ya mambo ya ndani tu . Naona kama jwtz ndo shavu
  4. Gozaka

    Features za kuvutia kwenye simu za Xiaomi

    Wadau ntapata wap battery original za redmi note 8 , nilinunua moja juzi kat kariakoo halinA ata siku tatu linazima likifika 30%
  5. Gozaka

    Computer4Sale Panasonic Laptop inauzwa

    Panasonic tough book ,Mashine ya kazi mjapan original , Ram -4gb Rom- -500gb CPU -2.5ghz Battery [emoji367]- 7+ hours Nina shida ya hela Bei : 250000 Contact: 0710660264
  6. Gozaka

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    habari hivi nkitaka kubadilishiwa meter nafanyaje .... mi nlifungiwa meter ambayo haizimi ata umeme ukiisha inaandika negative tu .... ko kuna saa deni linakua kubwa napata shida kulipa .... kama nlipangishia watu nyumba nkakuta hawakulipa kabsa umeme deni limelimbikizwa unit za negative zenye...
  7. Gozaka

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    CCP ni miezi 9 kumbe
  8. Gozaka

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Vp course imeanza ?
  9. Gozaka

    Natafuta mtaalam wa Cyber security

    Ukikosa kabisa , ingia Upwork jisajili then toa kazi eka na bei yako ... Kwa quality assurance testers .. utapat wengi ma expert worldwide ... Sana WA bei rahis kukutestia utapata WAhindi
  10. Gozaka

    Blog ni ajira, naingiza milioni 1 kwa mwezi

    Itakua vizur watu waoga wakuja pm [emoji23]
  11. Gozaka

    Blog ni ajira, naingiza milioni 1 kwa mwezi

    Kwan nan anamlipa Millard Ayo kwenye app yake .? Hivyo n vitu vipo watu wanapata pesa ... Issue ni kupata hzo AdSense ambazo ndo zinafanya ulipwe na Google
Back
Top Bottom