Ipo kisemvule dk 5 kutoka stend kuu ina vyumba 3 na sebule unalipia na kuamia share tangazo fanikisha 1ml utatoka kwa atakae fanikisha ili documents zote zipo
0683715151
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Hii ni platform kubwa ikitokea mwajir yupo sio mbaya ndoto ya kila maskin ni kufanya kaz ili maisha yaende
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
miaka hii ajira za utendaji nk wanaojitolea wnapewa kabisa barua na mkurugenz ikitokea ajira wanapewa periolity
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Mimi nimeitimu chuo miaka 10 iliyopita yaan 2012 niliamini kujitolea ndio njia sahihi ya kuzingatiwa katika ajira nikajitolea kuanzia 2013 adi 2018 katika taasisi mbalimbali za umma kwa uaminifu mkubwa akika nimejifunza mengi makubwa mahusiano kazin nk unaachiwa ofis ya umma unafanya kaz zote as...
Laptop kwa vijana wengi chuo ni fashion kivuta walembo geto na kuangalia movie tu kutumia kwa social media ila wanaotumia kusoma basi wanamsingi nao kutoka primary sec advance umetoka liwale uko umesoma sec ya kata tuition unasikia tu unaingia udsm unawaza laptop unaanzaje kumsawish mzaz...
Kijana ambao ni muhanga wa ajira kwa miaka zaidi ya 10 toka nimehitimu chuo kwa fani Ugavi nafarijika kwa juhudi, mbalimbali ambazo serikali imefanya na inaendelea kufanya kuakikisha inapunguza tatizo la ajira kwa kiasi chake.
Awamu hii chini ya Rais madam Samia kwa kiasi kikubwa wameajiri...
Wakati wewe unasema maoni yako kuna watu wanapanga kinachotaka kutokea miaka 20 mbele wanaamua wanafanya na kinatokea hivyo mawazo yako yatambue kuna maisha na bahati
Nauza plot yangu yenye ukubwa wa square meter 950 ipo vikindu kwa mama jack km 2 kutoka barabara ya rami umeme upo maji yapo kuna ninaz eneo ni tambalale bei ni 15ml mazungumzo yapo 0683715151
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.