Ndio watalii wanakuja kuangalia shirika la ndege la taifa linavyoendeshwa kwa hasara lakini bado linaendelea kuwepo kwa gharama za walipa Kodi. Huu nap kwa Tanzania ni utalii tosha. Wengi wa watalii wanakuja na ndege za mashirika mengi kuja kulitalii shirika letu la ndege.
Dini ya wanafiq. Kabla ya Uhuru wapo bega kwa bega na watawala. Hata chama kingine kikiingia maadarakani, utawaona watakavyopiga u turn ya kutengeneza uchawa na unafiq. Ipo siku ijayo mtawashuhudia Hawa njaa kali, wakibadili gear majini Kama majini vile.
Sie wakulima ndio Basi tena. Tunayo mengi kuliko kundi lolote. Wanasiasa wametuvamia na Bei zao za kujitajirisha wao na wakituacha tumepinda mgongo. Wanapanga Bei ya mazao ili hali wao ndio wanunuzi kupitia mawakala wao. Ukulima Tanzania ni kukubali kunyonywa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.