Recent content by govikubwa

  1. G

    JamiiForums Tanzania Duh siasa hiii..dada katisha

    Ndio act walivyo. Full unafiki. Kwa juu unamuona Kama act kumbe ukichimba chini ni ccm. Project
  2. G

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Hakuna uvamizi uliofanyika katika Ofisi za JamiiForums

    Nani anamtukana rais? Mbona viongozi wanajituknisha wenyewe tu.
  3. G

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Heshima kwa wasiojiheshimu ni kitugani
  4. G

    JamiiForums Tanzania Dudu Baya: Kuna wasanii wa kiume wameolewa na wanaume wenzao, nao wanasema fanyeni kazi

    Dudu wataje hao wapumbavu. Usiache kusema diamond anavyofanya na mama yake na biashara za kuua vijana wetu.
  5. G

    JamiiForums Tanzania Chama tawala Malawi tunaogopa Njia hii wananchi wakiijua inaweza kuwafunua kupata mbinu ya kuzuia uchaguzi kirahisi

    Mbwa wa nini sasa. Mimi naandaa nyuki na kuwasambaza vituoni siku nzima. Tuone atakayeenda kutiki sasa Kama atarudi salama.
  6. G

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Shirika la ndege ATCL chini ya Rais Samia halijawahi kuleta hasara za kiuchumi ila za kihasibu tu

    Ndio watalii wanakuja kuangalia shirika la ndege la taifa linavyoendeshwa kwa hasara lakini bado linaendelea kuwepo kwa gharama za walipa Kodi. Huu nap kwa Tanzania ni utalii tosha. Wengi wa watalii wanakuja na ndege za mashirika mengi kuja kulitalii shirika letu la ndege.
  7. G

    JamiiForums Tanzania GE2025 Sheikh Haruna atoa onyo kwa Humphrey Polepole kuhusu kauli zinazomchafua Rais Kikwete

    Dini ya wanafiq. Kabla ya Uhuru wapo bega kwa bega na watawala. Hata chama kingine kikiingia maadarakani, utawaona watakavyopiga u turn ya kutengeneza uchawa na unafiq. Ipo siku ijayo mtawashuhudia Hawa njaa kali, wakibadili gear majini Kama majini vile.
  8. G

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Diamond Platnumz: Fanyeni kazi, acheni lawama, kila awamu, kila uongozi mnalalamika

    Sie wakulima ndio Basi tena. Tunayo mengi kuliko kundi lolote. Wanasiasa wametuvamia na Bei zao za kujitajirisha wao na wakituacha tumepinda mgongo. Wanapanga Bei ya mazao ili hali wao ndio wanunuzi kupitia mawakala wao. Ukulima Tanzania ni kukubali kunyonywa.
  9. G

    JamiiForums Tanzania Video: Kwa msiojua pesa alizopiga Anjela kwa jeshi la polisi ni hii issue msikilize tena Magufuli hapa

    Polisi wanaibiwa halafu wananyamaa kimya kama sio polisi vile. Yaani hata skauti wasingekubali ila polisi wa Tanzania kichekesho.
  10. G

    JamiiForums Tanzania Kuna Jengo limeshika moto Mitaa ya Aggrey na Sikukuu - Kariakoo muda huu (Agosti 31, 2025)

    Wanataka kupanunua ili watakatishe pesa walizoiba.
  11. G

    JamiiForums Tanzania GE2025 Chemba: Hotuba ya Mgombea Urais kupitia CCM Dkt Samia yatikisa, Wananchi walipuka kwa Shangwe

    Bado ni sera ya mgombea urais? Diwani ana advocate nini? Jamani, kiukweli tupo Pluto kabisa.
  12. G

    JamiiForums Tanzania Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

    Ni kawaida binadamu kumsilimisha binadamu mwenzake na shetani kumsilimisha shetani mwenzake. Walisilimishana.
  13. G

    JamiiForums Tanzania GE2025 Natabiri CCM Zanzibar kushinda kwa zaidi ya asilimia 90

    Act ni ccm ndio maana wazanzibar wameipuuza. Nyako kabisa act. Hawapati wabunge watano.
  14. G

    JamiiForums Tanzania Style ya mapigo na mwendo nimeikubali

    Weka picha
Back
Top Bottom