Wewe ni lipuuzi kupita upuuzi wenyewe, nijuavyo wewe ni muumini wa mtu na sio chama, ulitoka ccm juzi kumfuata lowassa na sio kuifuata cdm, leo unatatizo gani na ccm? sio simba na yanga hii
Nchi gani wanatoza riba nafuu kuzidi hapa kwetu?
(obvious zipo)
Unayajua mazingira ya wao kutoza riba ndogo na changamoto za uwekezaji ktk nchi hizo?
Ni kweli nchini kwetu siku zijazo riba itashuka lakini usidhani utaweza kufanya biashara kirahisirahisi kama miaka hii ndugu.
Km huna hiyo m45 unaanzaje?
Lazima ukope.
Mimi pia nilikopa M10 nimeiwekeza duka la mazaga,mpesa simu na spea zake kijijini nakamua faida ya wastani wa 1.5 kwa mwezi (ukitoa gharama zote za uendeshaji)
Naanzia wapi kumshauri mtu asichukue mkopo benki?
Maana kiuhalisia unashindwaje kuzalisha...
Katika zama hizi za #HapaKaziTu inashangaza kuona unakuwepo uzembe wa hovyo kwa management ya hospitali ya wilaya kukosa karatasi za kusajili wateja wa bima ya afya na hivyo kusababisha wagonjwa kukosa huduma katika maduka ya dawa yanayohudumia wateja wa bima ya afya.
Inawezekanaje? Wahusika...
Shetani naye alikuwa na maswali ya dizaini hii, umenikumbusha ile muvi ya maisha ya Yesu
BTW be specific, arudishe viwanja vilivyoporwa na viongozi au vilivyoporwa na ccm?
La viongozi linaweza kutekelezwa haraka bila shida na halihusiani na chama, wamefanya hayo kwa matakwa yao si ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.