Nisikitike kwanza kinachoendelea nchini hapa mi nijiulize watanzania tumerogwa au hatujui tunahitaji nn?
Tunashabikia nn? Kwa nn? Tunahitaji nn? Tumeishije miaka iliopita? Je? Tumepata Yale tuliohitaji mpaka sasa na kama ni ndio tunajua cha kufanya ili tuendelee kupata tunayohitaji na kuwa na...
Taasisi kwa lugha ya kigeni ni INSTITUTIONS which refers to laws, regulations, institute, policies, by laws even customs and traditions. Hizi ndio hutawala na ubora wa institutions ndio ubora wa maafankio na tabia ya institutions uadhibu pale unapoenda kinyume na ukwel hapa ni kuwa...
Hongera mzee mkapa najua rohoni ulikuwa unafurahii tu kijana wako anavyopenya kwenye mawimbi ya rushwaa, visasi na vyeo ila alikuwa anaitwa askari wa mwamvuli wakt wako na nina imani ulikuwa haujawahi kumfukuza kwa simu hata maramoja ila kijana wako wako mulize ndani ya miaka 10 hii ya uongozi...
sishangai hata kidogo tunajua kufikiri vizuri watanzania ni kazi kubwa sana tena mno kama Watanzania wasomi kabisa wanashabikia madhara ya RICHMOND na kusahau kabisaa MULTIPLIER EFFECT iliozalishwa na RICHMOND na hata wamesahau PARETO OPTIMILITY kabisaa. Leo hii mikataba ya madini tulishaona ni...
Kijana unakataaa nafsi yako na kusaliti umma kisa umepewa hela au ahadi ya madaraka ambayo hujui utaipata ni ujinga mtupu yaani ukilaza unakuja unagombana na watu wanaotaka uje ujitambue kijana Wa aina hii ni LAANA kwa jamii yetu na nimpuuzi sana
Huwa hatuishi kulalamika kila siku tunaonewa , tunaonewa na chama tawala. Utasikia oooh CCM wezi, CCM mafisadi, CCM wao kwanza na tunalalamika kwelikweli ooh CCM wameharibu elimu yetu oooh CCM shaghalabaghala kila siku yaani haiwezi kupita siku hakuna malalamiko juu ya chama tawala chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.