Umerogwa au hujitambui au pesa zimenunua utu wa fikira zako?

GOTILANGU

Senior Member
Aug 23, 2013
182
46
Nisikitike kwanza kinachoendelea nchini hapa mi nijiulize watanzania tumerogwa au hatujui tunahitaji nn?

Tunashabikia nn? Kwa nn? Tunahitaji nn? Tumeishije miaka iliopita? Je? Tumepata Yale tuliohitaji mpaka sasa na kama ni ndio tunajua cha kufanya ili tuendelee kupata tunayohitaji na kuwa na amani. Na kama hatukuwapata basi wakati ni huu wakuyaanda ili tuyapate.

Tunasema tuwavumilie ni sawa na tunawavumilie na kuwapa nafasi kwa lipi? Mwaka 1995 niliwapa kura Yangu niling'atwa na kupulizwa wakat nakiona uchumi ukiimarika kumbe mikataba ya kuiangamiza nchi na kutufanya maskini ilikuwa ikisainiwa na biashara kufanyika IKULU kama vyombo mbalimbali vinavyoripoti hasa magazeti. Niliwapa kura Yang baada ya miaka 5 yaani mwaka 2000 ahadi au Sera ya kipindi kile nikielelezo kuwa nilidanganywa na viongozi wa CCM maana hawakutekeleza walichotuambia katika majukwaa.

Maisha bora ilikuwa kauli mbiu ya mwaka 2005 acha kabisa kwa kujiamini na kwa kutuahidi maisha bora kumbe kinyume chake CCM hawakutekeleza Sera za uchaguzi hivyo basi walinidanganya tena na nilipaswa kuwashitaki maana walinidanganya utekelezaji wa ahadi na Sera zao za uchaguzi ni kielelezo kuwa walinidanganya kabisa na kikubwa walikumbatia policy mbovu, laws na regulations zikakosa meno kabisa yaani wakashindwa kujenga taasisi thabiti ya URAIS.

MF: Kujikanganya katika issue ya akaunti ya escrow hapa ni kielelezo wakati pesa kubwa ya IPTL ikitakiwa kulipwa na bila kuchukua kodi na kusema si pesa ya umma na kufumbia suala la Richmond na kuliacha hewani mpaka Leo ni kuonyesha udhaifu mkubwa mno na kuendelea kuongea kashfa moja na kuacha ubadhilifu uliokithiri katika halmashauri zetu pesa ambazo ndio zilizokaribu na wananchi ambazo ukijumlisha kwa miaka waliokaa madarakani ni zaidi ya escrow hii serikali imeshindwa kujenga taasisi thabiti kwa kutumia kura Yangu mpaka leo na kikubwa kudharau ushauri wa wataalamu ndio kigezo kikubwa na hasa CAG. Mwaka 2010 CCM mlikuja na nguvu mpya kasi mpya yaani kutekeleza mliohadi asilimia ya mliotekeleza ni ushahidi kuwa mnatumia uongo kuingia madarakani maana vitu muhim hamkutekeleza kama ujenzi wa viwanda kama msingi wa ajira kwa vijana na maendeleo.

Kibaya pamoja na kutokutekeleza hayo mumekuja tena kuniambia Yale Yale na hapo ndipo najiuliza nimerogwa au? Na kibaya mnakubali kuwa CCM haipo tena kwakuruhusu kubebwa na MTU wapi mlishaona MTU katawala jamani? Ni INSTITUTIONS zilizothabiti ndio utawala na kwa CCM hilo halipo tena pamoja na uzuri wa magufuli wote ule alipaswa kutokuwa mgombea katika chama kile ambacho hakina INSTITUTIONS BORA imani Yang kwako ni sawa na imani niliompa kiongozi Wang ninaempenda mpk Leo lakini policy mbovu za chama chetu namaanisha INSTITUTIONS mbovu ndio zinazomfanya aendelee kuwa katika majukwaa kupiga kampeni badala ya kupumzika. Ndugu Magufuli kaka kwangu Mimi wewe ni dhahabu iliobebwa katika uchafu uliokithiri ndugu ukweli kuwa unataka uraisi kupitia katika Institutions mbovu yaani chama. Chama hakiwezi kujirekebisha bila kukaaa pembeni hata mkishinda bado ile hali ya utawala hamtabadilika kama mkiachia miaka mitano ndio mrudi nakubaliana kuwa CCM kuna viongozi wazuri mmekumbatia INSTITUTIONS mbovu au mmezifanya viwaadhibu pia.


CCM SITAWAPA KURA MWAKA HUU

Sababu:
1: Nataka mkae pembeni mjikumbushe mnapaswa kuwafanyia nn watanzania mkirudi mtakuwa bora sana kuliko mkishinda sasa na katika hili nawaomba watanzania tusiwe kama tumerogwa tukiadhibu chama hiki kiende shule kimetudanganya muda mrefu sana na akioni athari kukiacha madarakani ni kukiadhibu kuliko maana hakitajifunza na sisi tunataka kijifunza hata wasemeje hawawezi kubadilika kabisa maana Kikwete raisi wetu ni mfano kwa Magufuli tulivyomwamini mwaka 2005.

2: Nimewapa kura mara 4 zote kilichobora hakijapatikana pamoja na kufanya baadhi ya mambo kama barabara lakini haziendani na utajiri tunaoupoteza.

UKAWA

Mumezamilia kutuunganisha pamoja ila mumetumia njia ya mkato sana na ulazimishi mkubwa ila sio mbaya kwangu mm mmekuja wakati muafaka kama fimbo ya kutolea adhabu kwa CCM ila pia mkumbuke CCM kuna viongozi wazuri na kinachowatesa ni kudharau INSTITUTIONS walizoweka na sasa zinawaadhibu mkumbuke hilo.

Suala la mamluki hasa LOWASSA ahsante ameongeza ukali wa fimbo Yang imani Yangu kwake pamoja na yote mumempokea LOWASSA na si waziri MKUU pia hamkupokea Institutions za alikotoka ila amekuja kutekeleza institutions zenu na pamoja na changamoto za mapenzi ya mola chapeni kazi ya kutuunganisha pamoja kwa nia ya kuiadhibu CCM. Kama unakumbuka haya na mengine mabadiliko ya funzo ni muhimu. Kama CCM ni ileile inatosha kabisa



SITAWAPA KURA CCM MSIMU HUU
 
jaji Warioba kasema vizuri sana, "ukawa mmekosa/mmejikosesha uhalali"

na sisi wananchi tunao jitambua tumegundua ukawa kuna viongozi wenye uchu na tamaa kubwa sana ya maadaraka na fedha.

kutaka kuwa changisha waliojidai kuwonea huruma kwa kugeuza waliolengwa na kauli ya kuitwa malofa, pale mkutanoni jangwani ni mfano tosha wa tamaa yao ya fedha. ni Mungu tu ndie aliye epusha walalahoi wale siku ile wasiliwe fedha zoa kwa jina tamu la sadaka ya mabadiliko.

viongozi hawa ni kama fisi walivyo na tamaa na uchu wa mizoga.
 
Binafsi ni chama changu lakini katika uchaguzi mkuu huu sitapigia CCM kura kwa nafasi ya urais.
 
kwa kweli sisi kina gogo la shamba tunawashauri wananchi waiweke ccm kando tuwaone UKAWA nao watatufanyia nini japo kwa miaka mitano
 
Mimi sijalogwa mkuu kura yangu ukawa nitaipiga kwa makini sana.Tuombe Mungu uzima tuu.
 
Ninaomba sana tusikumbusha ubaya wa ccm watu wengine tukikumbuka tunashikwa na hasira na kutokwa na machozi mungu tunaomba uichome moto ccm iwake mchana kweupe!
 
Tatizo sio ukawa kwangu ila tatizo yule alitesimamishwa kwakweli kwa yule hapana Hapana Hapana
 
Nasema Tena, sitaichagua Sisiem Hata Mgombea Wa Urais Niwe Mimi Mwenyewe!!....Ukawa Ya Mh.Lowassa Ndio Chaguo Langu!!
 
Hata usipowapa wewe KURA yako mbona CCM watashinda tu!

Nisikitike kwanza kinachoendelea nchini hapa mi nijiulize watanzania tumerogwa au hatujui tunahitaji nn?

Tunashabikia nn? Kwa nn? Tunahitaji nn? Tumeishije miaka iliopita? Je? Tumepata Yale tuliohitaji mpaka sasa na kama ni ndio tunajua cha kufanya ili tuendelee kupata tunayohitaji na kuwa na amani. Na kama hatukuwapata basi wakati ni huu wakuyaanda ili tuyapate.

Tunasema tuwavumilie ni sawa na tunawavumilie na kuwapa nafasi kwa lipi? Mwaka 1995 niliwapa kura Yangu niling'atwa na kupulizwa wakat nakiona uchumi ukiimarika kumbe mikataba ya kuiangamiza nchi na kutufanya maskini ilikuwa ikisainiwa na biashara kufanyika IKULU kama vyombo mbalimbali vinavyoripoti hasa magazeti. Niliwapa kura Yang baada ya miaka 5 yaani mwaka 2000 ahadi au Sera ya kipindi kile nikielelezo kuwa nilidanganywa na viongozi wa CCM maana hawakutekeleza walichotuambia katika majukwaa.

Maisha bora ilikuwa kauli mbiu ya mwaka 2005 acha kabisa kwa kujiamini na kwa kutuahidi maisha bora kumbe kinyume chake CCM hawakutekeleza Sera za uchaguzi hivyo basi walinidanganya tena na nilipaswa kuwashitaki maana walinidanganya utekelezaji wa ahadi na Sera zao za uchaguzi ni kielelezo kuwa walinidanganya kabisa na kikubwa walikumbatia policy mbovu, laws na regulations zikakosa meno kabisa yaani wakashindwa kujenga taasisi thabiti ya URAIS.

MF: Kujikanganya katika issue ya akaunti ya escrow hapa ni kielelezo wakati pesa kubwa ya IPTL ikitakiwa kulipwa na bila kuchukua kodi na kusema si pesa ya umma na kufumbia suala la Richmond na kuliacha hewani mpaka Leo ni kuonyesha udhaifu mkubwa mno na kuendelea kuongea kashfa moja na kuacha ubadhilifu uliokithiri katika halmashauri zetu pesa ambazo ndio zilizokaribu na wananchi ambazo ukijumlisha kwa miaka waliokaa madarakani ni zaidi ya escrow hii serikali imeshindwa kujenga taasisi thabiti kwa kutumia kura Yangu mpaka leo na kikubwa kudharau ushauri wa wataalamu ndio kigezo kikubwa na hasa CAG. Mwaka 2010 CCM mlikuja na nguvu mpya kasi mpya yaani kutekeleza mliohadi asilimia ya mliotekeleza ni ushahidi kuwa mnatumia uongo kuingia madarakani maana vitu muhim hamkutekeleza kama ujenzi wa viwanda kama msingi wa ajira kwa vijana na maendeleo.

Kibaya pamoja na kutokutekeleza hayo mumekuja tena kuniambia Yale Yale na hapo ndipo najiuliza nimerogwa au? Na kibaya mnakubali kuwa CCM haipo tena kwakuruhusu kubebwa na MTU wapi mlishaona MTU katawala jamani? Ni INSTITUTIONS zilizothabiti ndio utawala na kwa CCM hilo halipo tena pamoja na uzuri wa magufuli wote ule alipaswa kutokuwa mgombea katika chama kile ambacho hakina INSTITUTIONS BORA imani Yang kwako ni sawa na imani niliompa kiongozi Wang ninaempenda mpk Leo lakini policy mbovu za chama chetu namaanisha INSTITUTIONS mbovu ndio zinazomfanya aendelee kuwa katika majukwaa kupiga kampeni badala ya kupumzika. Ndugu Magufuli kaka kwangu Mimi wewe ni dhahabu iliobebwa katika uchafu uliokithiri ndugu ukweli kuwa unataka uraisi kupitia katika Institutions mbovu yaani chama. Chama hakiwezi kujirekebisha bila kukaaa pembeni hata mkishinda bado ile hali ya utawala hamtabadilika kama mkiachia miaka mitano ndio mrudi nakubaliana kuwa CCM kuna viongozi wazuri mmekumbatia INSTITUTIONS mbovu au mmezifanya viwaadhibu pia.


CCM SITAWAPA KURA MWAKA HUU

Sababu:
1: Nataka mkae pembeni mjikumbushe mnapaswa kuwafanyia nn watanzania mkirudi mtakuwa bora sana kuliko mkishinda sasa na katika hili nawaomba watanzania tusiwe kama tumerogwa tukiadhibu chama hiki kiende shule kimetudanganya muda mrefu sana na akioni athari kukiacha madarakani ni kukiadhibu kuliko maana hakitajifunza na sisi tunataka kijifunza hata wasemeje hawawezi kubadilika kabisa maana Kikwete raisi wetu ni mfano kwa Magufuli tulivyomwamini mwaka 2005.

2: Nimewapa kura mara 4 zote kilichobora hakijapatikana pamoja na kufanya baadhi ya mambo kama barabara lakini haziendani na utajiri tunaoupoteza.

UKAWA

Mumezamilia kutuunganisha pamoja ila mumetumia njia ya mkato sana na ulazimishi mkubwa ila sio mbaya kwangu mm mmekuja wakati muafaka kama fimbo ya kutolea adhabu kwa CCM ila pia mkumbuke CCM kuna viongozi wazuri na kinachowatesa ni kudharau INSTITUTIONS walizoweka na sasa zinawaadhibu mkumbuke hilo.

Suala la mamluki hasa LOWASSA ahsante ameongeza ukali wa fimbo Yang imani Yangu kwake pamoja na yote mumempokea LOWASSA na si waziri MKUU pia hamkupokea Institutions za alikotoka ila amekuja kutekeleza institutions zenu na pamoja na changamoto za mapenzi ya mola chapeni kazi ya kutuunganisha pamoja kwa nia ya kuiadhibu CCM. Kama unakumbuka haya na mengine mabadiliko ya funzo ni muhimu. Kama CCM ni ileile inatosha kabisa



SITAWAPA KURA CCM MSIMU HUU
 
Uloi nga mâché68;14005812 said:
Hata usipowapa wewe KURA yako mbona CCM watashinda tu!

watashinda? Labda Iwe Serikali Ya gheto Lako, Lakini Sio Serikali Ya JMT!!
 
Uloi nga mâché68;14005812 said:
Hata usipowapa wewe KURA yako mbona CCM watashinda tu!

Bao la mkono mwisho toi.na litawatereza na kuwavunja mat*ako wenyewe.

Halafu hizi akili za kuquote habari lefu,kwa mistari miwili ni tabia za nepe kuhisi kila sehemu anaweza piga punyeto.
 
jaji Warioba kasema vizuri sana, "ukawa mmekosa/mmejikosesha uhalali"

na sisi wananchi tunao jitambua tumegundua ukawa kuna viongozi wenye uchu na tamaa kubwa sana ya maadaraka na fedha.

kutaka kuwa changisha waliojidai kuwonea huruma kwa kugeuza waliolengwa na kauli ya kuitwa malofa, pale mkutanoni jangwani ni mfano tosha wa tamaa yao ya fedha. ni Mungu tu ndie aliye epusha walalahoi wale siku ile wasiliwe fedha zoa kwa jina tamu la sadaka ya mabadiliko.

viongozi hawa ni kama fisi walivyo na tamaa na uchu wa mizoga.

Jenga tabia ya kuzungumzia umoja nafsi ya kwanza,na si umoja nafsi ya pili.

Hapana mtu anayejitambua atachagua ccm oct.ni mabwabwa tu.
 
Tatizo la wabongo akili zao zinaangalia upande mmoja kama zimesettiwa kama kichwa cha FISSADI LOWASSA.Unaangalia matatizo ya CCM tu bila kuangalia je,NI KWELI CCM IMECHOKA LAKINI HILO GENGE LA WAFANYABIASHARA WANAWEZA KUTATUA HAYO MATATIZO.KWA JICHO HILO HILO MNAVYOINA CCM ANGALIENI NA HIVYO VYAMA VINGINE....
 
Jenga tabia ya kuzungumzia umoja nafsi ya kwanza,na si umoja nafsi ya pili.

Hapana mtu anayejitambua atachagua ccm oct.ni mabwabwa tu.


asante kwa kuuelewa ujumbe, vipi sadaka ya mabadiliko hamuwezi kutumia mtandao kuichangisha?
 
jaji Warioba kasema vizuri sana, "ukawa mmekosa/mmejikosesha uhalali"

na sisi wananchi tunao jitambua tumegundua ukawa kuna viongozi wenye uchu na tamaa kubwa sana ya maadaraka na fedha.

kutaka kuwa changisha waliojidai kuwonea huruma kwa kugeuza waliolengwa na kauli ya kuitwa malofa, pale mkutanoni jangwani ni mfano tosha wa tamaa yao ya fedha. ni Mungu tu ndie aliye epusha walalahoi wale siku ile wasiliwe fedha zoa kwa jina tamu la sadaka ya mabadiliko.

viongozi hawa ni kama fisi walivyo na tamaa na uchu wa mizoga.
dj mbowe anaona hela tu. siku ile alichanganyikiwa jinsi gani ya japo arudishe kiasi ya gharama ya kuunda hilo furiko la watu. eti 'sadaka ya ukombozi' angeomba ushauri haraka gwajima angejua jinsi ya kukusanya sadaka..teh teh teh
 
asante kwa kuuelewa ujumbe, vipi sadaka ya mabadiliko hamuwezi kutumia mtandao kuichangisha?

Labda ya mabadiriko ya ccm,naskia mmeamua kutirirka na nyinyi kwa kauli mbiu ya mabadiriko!!!!ukawa hatuchangishi sadaka.
 
Labda ya mabadiriko ya ccm,naskia mmeamua kutirirka na nyinyi kwa kauli mbiu ya mabadiriko!!!!ukawa hatuchangishi dadaka.


ni kweli hamchangishi dadaka, ila sadaka ya mabadiliko. na mmejua kujilengesha kweli, lowasa alipita kwenye nyumba za ibada kutoa sadaka, na nyie mkamhonga ugombea ili awachangie sadaka ya mabadiliko.
 
ni kweli hamchangishi dadaka, ila sadaka ya mabadiliko. na mmejua kujilengesha kweli, lowasa alipita kwenye nyumba za ibada kutoa sadaka, na nyie mkamhonga ugombea ili awachangie sadaka ya mabadiliko.

Teh teh teh
Basi ilikuwa njia nzuri maana jamaa anakimbiza vibaya.yaani kashawishi mpaka ambao hawaendagi kanisani kama mimi.
 
Back
Top Bottom