Mkuu me nafikiri unapoint nzuri tu kwamba gari inayokuja Africa inakua haina vitu vingi kama ambazo zinazoenda USA/Europe zinakua navyo,na hio kimsingi inaeffect mpaka kwenye price.
Lakini naomba nikuhakikishie gari iliyotengenezwa kwa ajili ya Africa ni tofauti sana na inayotengenezwa kwa...
Mkuu upo sahihi kabisa,gari iliyotengenezwa na toyota kushindana na 3 series ni Lexus IS 200/300.Brevis wala sio mshindani wa 3 series.nilikua namiliki Is200 manual ya Uk ndio ilikua na viwango vya kushindana na 3 series.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.