Nimebahatika kumuona akiwa jukwaani. Alikuwa mtu muhimu sana hasa katika kuwashawishi wamama kwenda CDM. Akisimama jukwaani watu wanasimama! Pengo kubwa sana kwa Chadema.
Niko Muganza. Ni kweli yalikuwepo malumbano ya nini kitangulie kati ya zahanati au madarasa. Diwani wa CDM ameweka nguvu kwenye zahanati na sasa mkandarasi anajenga boma. Kuna milioni 20 ambazo zimechangwa na wananchi tayari kwa kazi hii. Fedha hii itatosha kufikisha jengo kwenye linta. Awali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.