Recent content by GoPPiii.

  1. GoPPiii.

    Hivi kuna njia yoyote ya kuacha kubet?

    Ni rahisi sana Mbona. Amua tu kuwa unaacha
  2. GoPPiii.

    Nashauri safari za mabasi kutembea saa 24 zisitishwe, vifo vitamaliza watu

    Kama hakuna data zinazoonesha ajali za usiku ni nyingi kuliko za mchana basi, hii hoja haina mashiko. Tupende kutafuta data kwanza. Huu ni uchumi,kazi za watu.
  3. GoPPiii.

    Nimepiga block ombaomba wote mpaka baba na mama

    We jamaa balaa. Sema hii ya Extended family na mambo yalo ina changamoto sana.
  4. GoPPiii.

    Naona Bunge linapiga chafya

    Mnafurahia script na maigizo. 'Enendeni mkawe wakali shughuli iishe'
  5. GoPPiii.

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wale wa Victoria Plazen tunasalimiwa
  6. GoPPiii.

    Aliyekuwa mwanachama wa CHADEMA Nusrat Hanje avaa sare ya CCM

    Tusiwacheke au kuwalaumu imefika hatua ambayo kila mmoja wetu anataka ku survive regardless ya njia anayotumia. Umerlayer wa kisiasa ni njia ya kusurvive.
  7. GoPPiii.

    Sites za uhakika na tips za kuagiza online

    Nakuja mbele yenu maomba msaada wa:, 1/ Sites bora za kuagiza bidhaa haswa nguo online. 2/Mtaji 3/Muda wa bidhaa kukufikia haswa toka China 4/Agents wa uhakika wa kusafirisha bidhaa 5/Tips za kuwa makini.
  8. GoPPiii.

    Ngoja mtoto wako afike adolescent age (foolish age) ndio utaukumbuka umuhimu wa shule za Kayumba

    1. Watoto wote hawawezi kuwa sawa Tabia. 2. Private au Kayumba sio sababu ya malezi ya shule. 3. Mtaani kwetu Kayumbu ndio hatari. 4. Kama hela ipo peleka shule nzuri.
Back
Top Bottom