Hutaki wafanye mitihani.!? Kama unataka unataka wafanye katika mazingira gani!?
Mwalimu aandae maswali,akachape na ku print mitihani bure!? Wapi watamfanyia hiyo kazi bure!?
Hata kama ni motisha,hutaki wajitafutie motisha,kweli buku jero ni ya kuja kulia hapa.
Kama hakuna data zinazoonesha ajali za usiku ni nyingi kuliko za mchana basi, hii hoja haina mashiko.
Tupende kutafuta data kwanza. Huu ni uchumi,kazi za watu.
Tusiwacheke au kuwalaumu imefika hatua ambayo kila mmoja wetu anataka ku survive regardless ya njia anayotumia.
Umerlayer wa kisiasa ni njia ya kusurvive.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.