Recent content by googleg

  1. G

    Nauza maziwa. Niko Dodoma

    Upo sehemu gani boss kesho nikupitishie uonje hata kidogo maana bei ni moja ila ubora tofauti
  2. G

    Nauza maziwa. Niko Dodoma

    Nauza maziwa mgando na freshi nipo dodoma maili mbili free derivery kwanzia lita 5 ni Shilingi elfu kumi(10000) ndani ya dodoma Piga 0613929286 kuweka oda yako nikuhudumia karibu sana. Pia kwa wamama ambao wanatamani kufanya hii biashara nipigie nikupe maelekezo
  3. G

    Natafta kazi yoyote

    Sawa
  4. G

    Natafta kazi yoyote

    Kuuza cosmetics Kidato cha sita Pia naweza na kazi za kusave
  5. G

    Ni mafuta gani mazuri kwajili ya kukuza nywele

    Wild growth hair oil35000💥💥
  6. G

    Uoga wa Ku-Take Risk – Tofauti Kati ya Wazungu (Westerners) na Waasia/Mashariki (Easterners)

    Na wakati huo viongoz wanatake risk kula kodi alf wanarudi kuongeza kua tukatwe tena na vocha 🥵🥵🥵🥵tunafanya sana tu hatuogopi ilaaaa🤯🤯🤯🤯🤯
  7. G

    Natafta kazi yoyote

    Habari ndugu natafta kazi yoyote niko dodoma umri (25) kijana mawasiliano yangu 0777638200 Ntashukuru nikipata .niko tayar wakati wowote unaofaa
  8. G

    Naweza pada dalali dodoma wa kuniuzia mashine mbili za kunyolea saluni kwa haraka maana nimekwama haswa

  9. G

    Nauza kuku wa kienyeji kwa bei nzuri kabsa 14000 napatikana Dodoma

    Kama ukihitaji tunawasiliana ni vipi na uko wap wanakufikia boss karibu sana
  10. G

    Nauza kuku wa kienyeji kwa bei nzuri kabsa 14000 napatikana Dodoma

    Wangap unahitaj tufanye namna na uko wap?
Back
Top Bottom