Elimu sio biashara!Inawezekana kabisa Tshs 150,000 ni ndogo kulingana na gharama za maisha lakini Tshs 1,500,000-3,000,000 kwa chekechea mpaka kidato cha NNE sio sahihi kamwe!
Pia elewa kuwa unaposajili shule, unapojenga shule serikali inakupunguzia baadhi ya kodi( exemption) kuanzia...