Recent content by Goliati mbishi

  1. G

    Ukweli ni Kwamba Tanzania inawahitaji wote, Tundu Lissu na Magufuli. Mmoja akishinda mwingine awe PM

    Mtoa mada Kama Kuna siku umetoa mada ya maana Basi ni Leo! Kwa maslahi ya taifa Lisu ni mtu muhimu Sana ila sijui km mkuu analifikiria Hilo ila kwa kweli KAMA rais anaweza afanye nchi yet sote hi
  2. G

    Asanteni Wajumbe wa Kigamboni, Kamati yangu ya 'Wasiojulikana' ya Roho Mbaya CCM Dar es Salaam na Kamati Kuu ya CCM Dodoma 'Mtu' kachinjwa rasmi

    "USIFURAHI JUU YANGU EE ADUI YANGU NIANGUKAPO MIMI NITASIMAMA TENA"japo mpuuzi hamumpendi ila mi namsamehe toka moyoni cheo Ni dhamana na Ni funzo kwa watawala wote Kuweni watu wema kwa raia
  3. G

    Profesa Kitila Mkumbo karibu CCM lakini usituvuruge

    Mtoa mada acha UJINGA!!! NA we katafute pa kugombea Unamchongea kitila mkumbo ili asiaminike achukiwe ili upate nn. Mbona hatupendani kiasi hiki watu waSingida? Lipi jema kwenu. Alikuja mkamshauri amwachie Mwigulu kakubali. Niko ULEMO unachosema siyo KWELI na hapa Ni nyumbani toka Jana...
  4. G

    GE2020 Ushauri wangu kwa vijana na wazee wetu, tuchagueni upinzani tuone watafanya nini

    Daaaah Mayalla KWELI naona umejipambanua kuwa ss ww Ni mpiga zumari..........................
  5. G

    Sakata la Sabaya: CCTV zaanza kutema cheche

    Wakuu mbona hazifunguki?
  6. G

    Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa

    Wajumbe wanamkata mtu mwenye digrii nne? Watamwambia nn wakati yy ndo amesoma? Wasomii acheni dharau ndio maana tunafeli na maendeleo yet Ni duni
  7. G

    Mchezaji wa Kenya atorokea Tanzania baada ya kukosa kulipwa mshahara kwa miezi 5 mfululizo

    Ikusaidie nn ?? Sikia wakenya Ni ndugu zetu. Na sio kwa mipaka ya ukoloni. Napingana na wore wanaoshadadia utofauti was hizi nchi mbili. Badala ya kupendana tunabaguana!! Huu Ni ujinga Wakenya acheni nyodo za kipumbavu kuwaona watanzania washamba Sana. Ninyi watanzania acheni UPOPOMA kujiona...
  8. G

    Askofu Bagonza: Taifa letu limekumbwa na virusi viwili vya hatari. Kimoja kinaitwa LISSUPHOBIA na kingine kinaitwa LISSUPHORIA

    iboyamwaka2020, Unampangia Cha kusema . Acheni watu watoe dukuduku kwa afya zao. Migogoro minginemnasababisha wenyewe !!!! Huyu Ni mtumishi wa Mungu kwani kosa lake nn? Mapovu yote kisa katoa maoni au? Na wewe toa maoni yako siyo kutukana na kashfa lukuki kuwa mstaarabu ufiche udhaifu wako...
  9. G

    Tundu Lissu ameongea na Radio Citizen Kenya asubuhi ya leo, ameleezea hali ya usalama nchini pamoja na suala la Corona

    Ume Umesema? Hataki kutumia vyombo vya ndani wakati vyombo vya ndani havitaki kurusha taarifa yake!!!! Kuwa reasonable Basi.
  10. G

    Katika kila mfumo wa utawala wa nchi kuna kauli hazivumiliki

    Sasa mjinga Nani hapa ? Mtoa mada Bora urudie kusoma ulichoandika huna jipya acha hasira utakufa kwa pressure but. Lete logic sio unashambulia mtu. Haya kauli ya TL haivumiliki kwa Nani? Kwa hiyo unatakaje. Fanya kazi acha kulialia !!!
  11. G

    Serikali ya Tanzania yazuia ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua Dar, Kilimanjaro na Zanzibar

    Mbona wakenya mmepanic si mmezuia zetu na nyie msilete utopolo wenu KQ Hapa over. Maneno ya nn tuacheni na Corona yet mnayodai ipo I'll safari hi huyu mzee hajaribiwi NI JINO KWA JIWE hahaaaaaaa
Back
Top Bottom