Jana kuna mwanajamii mmoja hapa forum alidiriki kusema kwamba John Mnyika anatumika na ccm, kwa kwel ilikuwa vgumu sana kumuelewa mantiki yake hasa alilenga kumaanisha nn.
Bt kiukwel leo Mnyika ameonesha makucha yake jinsi anavyoweza kuchambua vifungu vya katiba pamoja na kanuni za bunge, like...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.