Bro ajira zinazotengenzwa na umeme... Daslam tu, tukiachana na part nyingne za nchi,... Serikali HAIWEZI kuwaajili hao watu wote waliojiajiri kwa kuwekeza kwenye umeme mzee, imagine watu wote wa stationary, photoshooters, hao vijana wanaochoma miziki, hospitali binafsi ambazo bdo hazijawa kubwa...
Kuna mtu mnamuite nyie na Kuna mtu yumo mioyoni mwa watanzania... Mnapigana kumtetea mama, lakini kwa nguvu... Sasa mkuu kulkua na haja ya kusema "huyu ndie raisi wa wa wanyonge, sio Fulani"... Acheni kulinganisha watu kama kwl anaupiga mwingi , aonekane tu, kusiwe na haja ya kumtetea kiasi hiko...
Mkuu mbna kama vile safar ya kuelezea itakua ngum kidg, me nakushauri fanya hvii Anza kufatlia soma soma vitabu, na google sana mambo na magazines za space ivoo kua curious af ukifika mahala sasa ukakwama ndo uulze make hapo mtu akisema aanze kuelezea na concept ya gravity... Kuna mamb hku...
And also Kuna baadhi ya apps ni nzuri pia unaweza tumia kusoma vitabu vingi hasa kutoka kwa famous writers, and some zinatoa options za kukusomea na zinasoma vizuri mnoow, Kuna hii hapaa inaitwa "WOW FM" Mimi natumiaga kusikiliza audiobooks
Hapa chini ni display yake na hvyo ni baadhi ya vitabu...
Mimi nnaerecommend try out kitabu kinaitwa
1. The Monk Who Sold his Ferrari by Robin Sharma
2. The Alchemist by Paul Coelho
3. Atomic Habits by James Clear
The Monk Who Sold his Ferrari kitakua boring mwanzoni but ukifika katikati hutatamani kiishe😅... Ukipata mda pitia pitia Kuna watu...
You are what you believe, but maybe you should think on why may talk about books kubadilisha maisha, make lisemwalo lipo kama halipo basi linakuja.... Try out some new experiences maybe ni kwl Kuna madini😅... But ukichagua kuendelea kuamini kile unachoamini,... Ni vizur pia
Kiongoz mda unatosha sana, sema mara nyingi priorities ndo zinatofautiana, unaweza ukaamua hata kwa siku unatenga saa moja la kusoma kitabu, auu unaamua kuhakikisha unasoma chapter moja ya kitabu flani. Iingize kwenye ratiba yako.... Inawezekana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.