Wandugu niko na mdog angu.pindi anaaply aliomba kuchukua clinical assistant2, now kaendelea na ordinary diploma lkn chuo husika wamegoma kumpa cheti chake ch level 5, ikiwa akuendelea masomo yake (mean L6) kutokan na vikwazo vya ada na supp, so ilibidi achomoe kwanza ndipo aendelee kaenda kuomba...
Broo tandabui sio chuo cha kwenda kusoma,mtu kama una ndoto zako za kuwa MD sikushauri uwende pale.kwa sababu chuo kinaendeshwa kihuni2 na akuna ratiba inayoeleweka,so isotoshe awana ata hospitali.kazi ni kwako sasa kuamua
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kusaidiwa jinsi ya kupata GPA ya mwisho wa mwaka wa tatu Clinical Medicine. Wanaanza kuhesabia tangu mwaka wa ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Masomo yapi.sababu mimi niko na C ya biology na C ya physic na D ya chemistry.na pindi naapply ilikuwa D flat kuingia chuo.sa malengo yangu mm ni mpaka degree.juzi nilikuwa nasoma guided book ya TCU wao wanataka C mbili ya bio na chemistry na D ya physic.sa apa ndo najiuliza kipindi NACTE...
Nimeshasoma ndio nimeona hizo sifa.
Sasa hapa ndo najiuliza hizi department kwanini hazina connection wakati zinategemeana.sasa hawa watu wote wenye D wataishia diploma tu.au izo principal zilizopo TCU kwenye Guided book zitabadilishwa.ikifika wakati wa hawa wenye D D kugradruate au hamna.sababu...
Naomba kuuliza hivi mtu aliemaliza diploma ya clinical medicine kwa GPA ya 4 na anataka kuomba degree.je anaweza kubaliwa kujiunga ikiwa cheti chake cha form four kina D za masomo ya sayansi.
sababu nasikia mpaka uwe na C.
naomba kusaidiwa
Jaman ningependa kusaidiwa,
Kama umeshalipa pesa kwa ajili ya mtihani wa TAIFA kwa ngazi ya CHETI bahati mbaya ukateleza na visupplementary eti Kuna kulipa tena fedha ili ufanye upya mtihani au so Sawa kulipia tena
Hivi mwanafunzi kwa ngazi ya cheti anaweza kuhama chuo cha private kwenda chuo cha serikali kwa ngazi ya cheti kada ya afya.naomba usaidizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa napenda kujua kama Kuna uwezano wa mtu kuhama chuo cha private kwenda chuo cha serikali kwa ngazi ya cheti kada ya afya.naomba usaidizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari nina shida na kujua nini tiba kamilifu ya sikio langu maana halisikii vizuri nimetumia dawa nyingi lakini sijapona.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.