Recent content by gogomoka

  1. G

    JamiiForums Tanzania Watapangiwa kazi nyingine - wanalipwa mishahara huku wakisubiri?

    Wanabodi, Nimejiuliza hili swali bila majibu - hawa wanaondolewa na Mheshimiwa kisha wanasema watapangiwa kazi nyingine. 1. Je wanaendelea kulipwa mishahara? 2. Mishahara kwa kiwango kipi cha zamani walichofikia au? 3. Wanaenda kazini - wanaripoti kwa nani? Mh JPM anajaribu kupunguza...
  2. G

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa zamani Ehud Olmert afungwa jela miezi 19

    Waziri Mkuu wa zamani wa Israel alihukumiwa miaka 7 baadaye mahakama ikampunguzia ikabaki miezi 19. Ameripoti gerezani kuanza kifungo jana. Ameshitakiwa na kuhukumiwa kwa rushwa na obstruction of justice. Muhimu katiba mpya ya Tanzania ituruhusu kwa Rais waliopita kuweza kushitakiwa na...
  3. G

    JamiiForums Tanzania Serikali kuzifunga akaunti zake kwenye benki za biashara na kuzipeleka Benki Kuu

    Inawezekana kuwa ushauri mbaya na pia inawezekana kuwa ushauri mzuri. Economics jibu sahihi utalipata baada ya muda kupita. Ni kama gambling. Kuna uwezekano mkubwa kwamba lengo mojawapo kati ya hizi benki kubwa zilizopo kushindwa kujienda hivyo kuwa open for takeover. Hivyo kutoa nafasi kwa...
  4. G

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa Umma tumsaidie Magufuli - Soma hii!

    International News TANZANIA PS performance a threat to reform A poorly performing Public Service is the biggest obstacle to newly elected Tanzanian President, John Magufuli?s ambitious reform program, many observers believe. Observers are of the view that President Magufuli has no option...
  5. G

    JamiiForums Tanzania Dhambi aliyoifanya Rais Mkapa kwa Taifa kuhusu TANESCO hatasamehewa!

    Ame, Safari ndio kwanza imeanza na ni ndefu sana. Tuzidi kumuombea uzima Magufuli.
  6. G

    JamiiForums Tanzania Kutoka Ukumbi wa Chuo Kikuu Huria Musoma: Prof. Muhongo atangaza nia ya Kugombea Urais

    Hakuna kitu kibaya kwa afya ya Taifa kwa kushindwa kufanya jambo muhimu kwa mustakabali wa taifa kwa hofu ya kwamba "nchi itayumba". Nitatolea mfano wa binadamu kipindi anapokuwa mgonjwa (i.e mlevi wa madawa ya kulevya, alcoholic, nk) lazima awaone wataalam na kuanza matibabu. Daktari atakwambia...
  7. G

    JamiiForums Tanzania Kutoka Ukumbi wa Chuo Kikuu Huria Musoma: Prof. Muhongo atangaza nia ya Kugombea Urais

    Naona sio sahihi kusema "kila mtu" anajua. Ingalikuwa hivyo basi angekuwa na support kubwa sana ndani na nje ya chama.
  8. G

    JamiiForums Tanzania Kutoka Ukumbi wa Chuo Kikuu Huria Musoma: Prof. Muhongo atangaza nia ya Kugombea Urais

    Mfumo umeundwa,kulindwa, kutumiwa na watu. Kwa hiyo tatizo ni watu. Watu kama wanautaka au hawautaki huo mfumo basi utabadilika tu. Ndio sababu naongelea wenye akili timamu watapigania mtu kama huyu aingie madarakani. Bahati mbaya wengi wao hawaoni!
  9. G

    JamiiForums Tanzania Kutoka Ukumbi wa Chuo Kikuu Huria Musoma: Prof. Muhongo atangaza nia ya Kugombea Urais

    Watasema yote wanayotaka lakini Profesa Muhongo amesema ukweli mtupu. Natumaini CCM inawatu wenye akili timamu kutambua alichokisema huyu mkuu.
  10. G

    JamiiForums Tanzania Dhambi aliyoifanya Rais Mkapa kwa Taifa kuhusu TANESCO hatasamehewa!

    Ame, Asante kwa ushauri. Nitakukumbusha wakati ukifika.
  11. G

    JamiiForums Tanzania Dhambi aliyoifanya Rais Mkapa kwa Taifa kuhusu TANESCO hatasamehewa!

    Historia ni somo Zurich na muhimu sana. Tusirudi nyuma sana Iraq na Libya unadhani bila USofA kuweka military muscles Watawala wake wasingekuwapo? Zimbabwe MDC mpaka kesho watajaribu lakini ZANU haiendi popote. Tujifunze jamani, power na jeuri ya ccm imelala wapi? Case in point: Lt.Gen A.Shimbo...
  12. G

    JamiiForums Tanzania Dhambi aliyoifanya Rais Mkapa kwa Taifa kuhusu TANESCO hatasamehewa!

    Kofia ili ni yenye nguvu kupita nyenzie Mwenyekiti wa Chama au Rais wa Nchi? Zote hizo mbili amekalia mtu mmoja. Niambie Nani huyo mwenye jeuri ya kumwadhibu vikaoni?
  13. G

    JamiiForums Tanzania Dhambi aliyoifanya Rais Mkapa kwa Taifa kuhusu TANESCO hatasamehewa!

    Udadisi, Asante sana kwa hii link. Hivi hii barua iliwahi kuandikwa gazetini?
  14. G

    JamiiForums Tanzania Dhambi aliyoifanya Rais Mkapa kwa Taifa kuhusu TANESCO hatasamehewa!

    Ng'wamapalala, Ujumbe ulioweka watakuja wengi sana kujaribu kupindisha. Nilivyoelewa ujumbe wako: CCM kama chama kina sera nzuri na bora kwa mustakabali wa nchi. Hizi sera zimeundwa kweli kwa maslahi ya Taifa. Tatizo lililopo ni ombwe la uongozi kwenye ngazi husika. Ombwe hili limeanza pale tu...
  15. G

    JamiiForums Tanzania JK: Hakuna Ujamaa tena Tanzania

    Gumegume, Hapo kwenye nyekundu ...inabidi uwe mwangalifu usichukue za madafu! Chukua za wakubwa tunaowategemea
Back
Top Bottom