Niwaombe sana, wewe mleta mada na wachangiaji baadhi.... Muachane na hii mada chonganishi katika masuala ya dini ambayo ninyi wote mnaonekana kutoijua kwa undani wake. Waachieni Wanazuoni/ wasomi wa biblia (Maaskofu na Wachungaji) ambao wanafundisha waumini wao makanisani kwa upendo na upole...
Tupo wengi, tupaze sauti zetu ili warudishe pesa yetu. Million 2 ni kubwa sana aiseee! Hili jambo siyo dogo, ni janga la kitaifa na waathirika wake ni wengi mno. Ukiona hadi viongozi wetu hawalikemei unaweza kudhani kuwa wao pia ni wanufaika wa hizo pesa zinazoibwa na bodi ya mikopo.
Nilijaza kuomba refund kwa maelekezo ya bodi ya mikopo tawi la Mwanza. Uki confirm data baada ya muda zinarudi kuwa un-confirmed. nimeshaenda pale ofisini kwao mara 5 bila kupewa ufumbuzi. Wanasema tu kwa ufupi tatizo ni system na watashughulikia. Liquidation letter ilitoka tangu 28/03/2022 na...
Mama mmoja wa umri wa kati ya miaka 65 na 70 alipita pale stand ya mabasi CHATO na kukaribishwa na wapiga DEBE huku wakimhoji anasafiri kwenda wapi. Katika kujieleza mama huyo aliulizia ofisi za NIDA ziko wapi ili akapate huduma ya vitambulisho.
Wale wapiga debe walimuuliza yule mama ni kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.